Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wakati mwaka jana dec nilipata tin bure naambiwa leo watu wanauziwa tena na wafanyakazi wa tra nawakiona aibu wanatumia wale vishoka pale nje kwenye ofisi zao jamaani hasa wakati huu wa license je ni sawa
mh tillya hii nisawa kuuza tin jamani na kama mnauza kwa nini wengine wapapewe bure wengine wauziwe??
Msaada tutani
mh tillya hii nisawa kuuza tin jamani na kama mnauza kwa nini wengine wapapewe bure wengine wauziwe??
Msaada tutani