Sandaland nani anaijua nje ya Kariakoo, nazungumzia chata zenye akili. Mimi Uzi wa Cape Verde nimeuelewa, lakini wa Algeria ndo naona uko poa sana hauna mambo mengi. Zote walizotumia hasa jezi ya leo dhidi ya MauritaniaJersey nzuri ya Algeria? Wew huangalii AFCON,
Umeona uzi wa cape Verde,
Kwa hio sandaland pale kwa stars humuoni?
Wew kwa kifupi hujielews
Sandaland nani anaijua nje ya Kariakoo, nazungumzia chata zenye akili. Mimi Uzi wa Cape Verde nimeuelewa, lakini wa Algeria ndo naona uko poa sana hauna mambo mengi. Zote walizotumia hasa jezi ya leo dhidi ya Mauritania
Naona timu zote zinazoshiriki michuano ya Afcon jezi wanazotumia chata ni Puma, kasoro Algeria tu.
ao wapo na chata ya Adidas na ndio jezi nzuri zaidi kwenye mashindano haya.
Tanzania sijaona chata yoyote. Namibia ndio jezi mbaya zaidi.
Hata Mimi Sandaland sivai
Sasa unapendea chata au jezi tena. Mbona hueleweki.Inajulikana Kariakoo tu. Chata gani hiyo local
hahahaaaaaCongo wazee wa pamba na kujikoboa wamevalishwa na nani?
Wale ukiwapa sandaland wanasusa
Congo wazee wa pamba na kujikoboa wamevalishwa na nani?
Wale ukiwapa sandaland wanasusa
Hizi ndio akili zinazohitaji kutawaliwa tena na wazungu,Inajulikana Kariakoo tu. Chata gani hiyo local