Timu zetu ziondoe hili neno 'kujitahidi' linachosha sasa

HOPEfull

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
1,733
2,083
Bila salamu.

Hili neno linachosha sasa kwa timu zetu..simba na yanga ndio timu kubwa hapa bongo ziondoe hili neno kujitahidi limekuwa too much tutengeneze timu za kushindana kama wenzetu na sio timu za kuqualify kwenye mashindano fulani.

Wenzetu nilichoona wana timu imara muda wote they play confidence wanaindividul quality wepesi wako eager yaani unaona kabisa hawa watu hawabahatishi wanatafuta kitu.

Timu zetu bado zinacheza kwa machale sio kuwa zitunatafuta kitu in confidence.Tunafuta tu kuqualify hatua moja kwenda nyingine lkn kiuwezo unaona kabisa bado.

Bado tunasafari ndefu na makocha wetu ,mabenchi ya ufundi,uwezo wa timu kifedha na kiuchumi,migogoro kila kukicha fukuza huyu timua yule yaani ni shida tupu.

Mimi nimeondoa hilo neno kujitahidi kwenye title yangu kwa sababu silitaki sasa vinginevyo ningesema 'timu zetu zijitahidi kuondoa neno kujitahidi' Lkn nimesema timu zetu ziondoe hili neno kujitahidi'..

Zifanye kweli ziache mambo ya kubahatisha bahatisha.

Tuache kujisifu sifu ovyo wakati kiuhalisia unaona kabisa Hali ni tete.

Basi usiku mwema.
 
Kuna phase ambayo timu zetu za Tanzania zinapitia kwa sasa na ukiwa mtu wa mpira utaliona hilo.

Hatupo Mbali sana na kufikia tunapoenda, kikubwa ni waliopewa majukumu kusimamia hizi team wahakikishe wanaendelea kuleta wachezaji wazuri na uwekezaji uzidi kupanuliwa.

Natumaini mpaka ifikapo 2030 tutakuwa na team mojawapo Tanzania ikifika fainali ya klabu bingwa Afrika.
 
Timu zenu na nani?.

Kama hauridhiki kwa kilichofanywa na Simba anzisha timu yako itakayokuwa inashinda kila mechi.

Mtu mwenye akili timamu anaelewa kutokufungwa na Ahly mechi mbili kazi hiyo si ya kitoto.
 
Timu zenu na nani?.

Kama hauridhiki kwa kilichofanywa na Simba anzisha timu yako itakayokuwa inashinda kila mechi.

Mtu mwenye akili timamu anaelewa kutokufungwa na Ahly mechi mbili kazi hiyo si ya kitoto.
acha hasira kama mgonjwa wa ukimwi hapa tunazungumzia trophy ambazo simba yeye kila siku anaishia robo huo ni uzembe.
 
acha hasira kama mgonjwa wa ukimwi hapa tunazungumzia trophy ambazo simba yeye kila siku anaishia robo huo ni uzembe.

Huwez jump kutoka underdog to mafanikio chap chap
Kuna hatua lazima ufikie, progress inaonekana, miaka hiyo simba ingeshakula 5 goals ,lakini leo hii wanasimama toe to toe na one of the best teams in africa
Next time watapanda juu zaid
But ina require hard work and dedication
 
Bila salamu.

Hili neno linachosha sasa kwa timu zetu..simba na yanga ndio timu kubwa hapa bongo ziondoe hili neno kujitahidi limekuwa too much tutengeneze timu za kushindana kama wenzetu na sio timu za kuqualify kwenye mashindano fulani.

Wenzetu nilichoona wana timu imara muda wote they play confidence wanaindividul quality wepesi wako eager yaani unaona kabisa hawa watu hawabahatishi wanatafuta kitu.

Timu zetu bado zinacheza kwa machale sio kuwa zitunatafuta kitu in confidence.Tunafuta tu kuqualify hatua moja kwenda nyingine lkn kiuwezo unaona kabisa bado.

Bado tunasafari ndefu na makocha wetu ,mabenchi ya ufundi,uwezo wa timu kifedha na kiuchumi,migogoro kila kukicha fukuza huyu timua yule yaani ni shida tupu.

Mimi nimeondoa hilo neno kujitahidi kwenye title yangu kwa sababu silitaki sasa vinginevyo ningesema 'timu zetu zijitahidi kuondoa neno kujitahidi' Lkn nimesema timu zetu ziondoe hili neno kujitahidi'..

Zifanye kweli ziache mambo ya kubahatisha bahatisha.

Tuache kujisifu sifu ovyo wakati kiuhalisia unaona kabisa Hali ni tete.

Basi usiku mwema.
Hao hao Mwakarobo FC wazee wa kulalamika.
 
Kuna phase ambayo timu zetu za Tanzania zinapitia kwa sasa na ukiwa mtu wa mpira utaliona hilo.

Hatupo Mbali sana na kufikia tunapoenda, kikubwa ni waliopewa majukumu kusimamia hizi team wahakikishe wanaendelea kuleta wachezaji wazuri na uwekezaji uzidi kupanuliwa.

Natumaini mpaka ifikapo 2030 tutakuwa na team mojawapo Tanzania ikifika fainali ya klabu bingwa Afrika.
Yanga tayari kashatoa somo la kufika fainali.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Timu ziko pazuri kwa sasa, kikubwa wamantain hapo na kufanya jitihada za kufika mbali zaidi.

Huoni kua ni tofauti na kipindi kile yanga/simba anatolewa kwenye hatua za mtoano tu wa mashindano yoyote. Sasa hivi tunajitahidi kwakweli.
 
Timu ziko pazuri kwa sasa, kikubwa wamantain hapo na kufanya jitihada za kufika mbali zaidi.

Huoni kua ni tofauti na kipindi kile yanga/simba anatolewa kwenye hatua za mtoano tu wa mashindano yoyote. Sasa hivi tunajitahidi kwakweli.
 
Bila salamu.

Hili neno linachosha sasa kwa timu zetu..simba na yanga ndio timu kubwa hapa bongo ziondoe hili neno kujitahidi limekuwa too much tutengeneze timu za kushindana kama wenzetu na sio timu za kuqualify kwenye mashindano fulani.

Wenzetu nilichoona wana timu imara muda wote they play confidence wanaindividul quality wepesi wako eager yaani unaona kabisa hawa watu hawabahatishi wanatafuta kitu.

Timu zetu bado zinacheza kwa machale sio kuwa zitunatafuta kitu in confidence.Tunafuta tu kuqualify hatua moja kwenda nyingine lkn kiuwezo unaona kabisa bado.

Bado tunasafari ndefu na makocha wetu ,mabenchi ya ufundi,uwezo wa timu kifedha na kiuchumi,migogoro kila kukicha fukuza huyu timua yule yaani ni shida tupu.

Mimi nimeondoa hilo neno kujitahidi kwenye title yangu kwa sababu silitaki sasa vinginevyo ningesema 'timu zetu zijitahidi kuondoa neno kujitahidi' Lkn nimesema timu zetu ziondoe hili neno kujitahidi'..

Zifanye kweli ziache mambo ya kubahatisha bahatisha.

Tuache kujisifu sifu ovyo wakati kiuhalisia unaona kabisa Hali ni tete.

Basi usiku mwema.
Mwakarobo hao
 
Unataka ziwekeze huku hazina uwezo neno kunitahidi iwe sehemu ya faraja yetu

Investment ndo uwe mpango
 
Timu zenu na nani?.

Kama hauridhiki kwa kilichofanywa na Simba anzisha timu yako itakayokuwa inashinda kila mechi.

Mtu mwenye akili timamu anaelewa kutokufungwa na Ahly mechi mbili kazi hiyo si ya kitoto.
Oky sawa, kwani kwan waarabu walikua 14 uwanjani? Alafu ndiyo waarabu hawakumfunga eeehe what next?
 
Back
Top Bottom