Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mkuu Umesahau lowassa ni waziri mkuu mstaafu
wazi mkuu msitafu atakuwa lowasa...
Mkuu Umesahau lowassa ni waziri mkuu mstaafu
Mimi sioni tatizo kwenye hili, anayetaka atembelewe na warembo nyumbani kwake awasiliane tu wahusika. Tatizo lipo wapi kwani??
Mimi sioni tatizo kwenye hili, anayetaka atembelewe na warembo nyumbani kwake awasiliane tu wahusika. Tatizo lipo wapi kwani??
alaaah! Basi naomba waje kwangu mmoja moja
alaaah! Basi naomba waje kwangu mmoja moja
Mkuu naku support, mabinti wanaweka nguvu nyingi katika madudu haya na kusahau elimu. Wanawake wote walipoumbwa na Mwenyezi Mungo aliwatunukia urembo ambao ni natural.Mkuu Kimbunga,
Haya mambo ya kuinga yanabomoa familia zetu wanawaanika mabinti zetu uchi wenyewe wanasema maendeleo.