Timu Mbowe si tulikubaliana hakuna kuhama Chama?

Timu Mbowe si tulikubaliana hakuna kuhama Chama?

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
11,797
Reaction score
18,038
Nyie akina Kigaila, Mwalimu, Catherine, Mrema, Mwita na wengine wote wa G55 mmesahau kiapo chetu kuwa baada ya kushindwa uchaguzi hakuna mtu atahama Chama? Sasa imekuwaje wenzetu mnabwaga manyanga?

Je ni kweli ninyi mlikuwa virusi ndani ya Chadema na kwamba mlikuwa mnajaza matumbo yenu kupitia kupitia kumpetipeti Mwenyekiti Mbowe? Kwamba baada ya Mbowe kushindwa uchaguzi mirija yenu imekatwa?

Kila la heri huko kwa Mzee Umbwabwa. Hongera sana Mzee Rungwe a.k.a Mzee wa Ubwabwa kuvuna wanachama wapya lakini chukua tahadhari hao wanachama wapya wanapenda sana vyeo bila hivyo watakupindua au watakuhama!

Ila ile ahadi yako ya kutulisha ubwabwa Watanzania wote achana nayo kwani tumekwisha kuwa watu wazima mambo ya ubwabwa ni kwa watoto tu!
 
Nyie akina Kigaila, Mwalimu, Catherine, Mrema, Mwita na wengine wote wa G55 mmesahau kiapo chetu kuwa baada ya kushindwa uchaguzi hakuna mtu atahama Chama? Sasa imekuwaje wenzetu mnabwaga manyanga?

Je ni kweli ninyi mlikuwa virusi ndani ya Chadema na kwamba mlikuwa mnajaza matumbo yenu kupitia kupitia kumpetipeti Mwenyekiti Mbowe? Kwamba baada ya Mbowe kushindwa uchaguzi mirija yenu imekatwa?

Kila la heri huko kwa Mzee Umbwabwa. Hongera sana Mzee Rungwe a.k.a Mzee wa Ubwabwa kuvuna wanachama wapya lakini chukua tahadhari hao wanachama wapya wanapenda sana vyeo bila hivyo watakupindua au watakuhama!

Ila ile ahadi yako ya kutulisha ubwabwa Watanzania wote achana nayo kwani tumekwisha kuwa watu wazima mambo ya ubwabwa ni kwa watoto tu!
🤣🤣🤣 Mziki wa No Reforms No Election siyo poa kabisa!
 
Nyie akina Kigaila, Mwalimu, Catherine, Mrema, Mwita na wengine wote wa G55 mmesahau kiapo chetu kuwa baada ya kushindwa uchaguzi hakuna mtu atahama Chama? Sasa imekuwaje wenzetu mnabwaga manyanga?

Je ni kweli ninyi mlikuwa virusi ndani ya Chadema na kwamba mlikuwa mnajaza matumbo yenu kupitia kupitia kumpetipeti Mwenyekiti Mbowe? Kwamba baada ya Mbowe kushindwa uchaguzi mirija yenu imekatwa?

Kila la heri huko kwa Mzee Umbwabwa. Hongera sana Mzee Rungwe a.k.a Mzee wa Ubwabwa kuvuna wanachama wapya lakini chukua tahadhari hao wanachama wapya wanapenda sana vyeo bila hivyo watakupindua au watakuhama!

Ila ile ahadi yako ya kutulisha ubwabwa Watanzania wote achana nayo kwani tumekwisha kuwa watu wazima mambo ya ubwabwa ni kwa watoto tu!
Kila anaueondoka ni msaliti! Ahahahahaha!
Kinachofurahisha, wanaobaki leo nao wataitwa wasaliti kesho!
"Ukila nyama ya mtu huwezi kuacha...!" Mwl. Nyerere, 1995.
 
Nyie akina Kigaila, Mwalimu, Catherine, Mrema, Mwita na wengine wote wa G55 mmesahau kiapo chetu kuwa baada ya kushindwa uchaguzi hakuna mtu atahama Chama? Sasa imekuwaje wenzetu mnabwaga manyanga?

Je ni kweli ninyi mlikuwa virusi ndani ya Chadema na kwamba mlikuwa mnajaza matumbo yenu kupitia kupitia kumpetipeti Mwenyekiti Mbowe? Kwamba baada ya Mbowe kushindwa uchaguzi mirija yenu imekatwa?

Kila la heri huko kwa Mzee Umbwabwa. Hongera sana Mzee Rungwe a.k.a Mzee wa Ubwabwa kuvuna wanachama wapya lakini chukua tahadhari hao wanachama wapya wanapenda sana vyeo bila hivyo watakupindua au watakuhama!

Ila ile ahadi yako ya kutulisha ubwabwa Watanzania wote achana nayo kwani tumekwisha kuwa watu wazima mambo ya ubwabwa ni kwa watoto tu!
Haahaa meza imepinduka, usicheze na wapiga kura wewe,🤣🤣🤣 ndo maana ccm hawataki kulisikia tume huru.Mbowe kasusa na kununa
 
Back
Top Bottom