Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,906
- 38,561
Kulikuwa na Cnde king siku hizi sijui yuko wapi?
Sandra Temu
Ibra masoud.
Sandra Temu
Ibra masoud.
Dsmmzizima shule..?
Wewe jamaa mada zako nyingi zimejikita zaidi kwenye kusikiliza redio hiv muda wakutafuta kipato unapata wapi?
Wewe jamaa mada zako nyingi zimejikita zaidi kwenye kusikiliza redio hiv muda wakutafuta kipato unapata wapi?
Unajuaje kama ndio anakopatia kipato huko huko, kwani vipato vinapatikana wapi?Wewe jamaa mada zako nyingi zimejikita zaidi kwenye kusikiliza redio hiv muda wakutafuta kipato unapata wapi?
hatari sanaHii naikubali Sana..japo kwa mikoani bado haijafika sijui kwa nini..nakumbuka akina jabri..mapembe..monalisa na Natasha.. Bibi Hindu..dida..kipanya..mwaka 2012
Sent using Jamii Forums mobile app
kabisa, pia ina athiri wafanyakazi wengine, morali ya kazi inashuka na wanageuka ma job hunter kisa maslahHR ya Times FM inapaswa ijipange mfanyakazi akitaka kuvunja mkataba na akisema issue ni dau nono alilopata kwa ofisi mpya at least na wao wapande dau.
Ila hichi kinachoendelea ni faida kwa watangazaji at least umuhimu wao unaonekana.
asante kwa kunijibiaUnajuaje kama ndio anakopatia kipato huko huko, kwani vipato vinapatikana wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app