Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,446
Wanaume wengi waliopo tiktok ni visamvu mchele.
Mpaka yule masai anayeitwa Kili Paul
Wanaume wengi waliopo tiktok ni visamvu mchele.
kumbe musica.ly ndo tiktok? sasa mbona musica.ly ilikuwa bora kuliko tiktok? au kwasababu yenyewe ilibase kwenye mziki tu lakini tiktok ipo kila sectaVine ndio walianza kabla ya Tiktok, then ikaja Musica.ly ambayo ikanunuliwa na kuwa Tik tok.
Zimeungana service mbili musicaly na nyengine kutengeneza tiktokkumbe musica.ly ndo tiktok? sasa mbona musica.ly ilikuwa bora kuliko tiktok? au kwasababu yenyewe ilibase kwenye mziki tu lakini tiktok ipo kila secta
Tiktok ni copy and paste ya vineGreat innovation of China.Mara nyingi China walituhumiwa copy paste tech za western sasa wamedhihirisha wanaweza kubuni.
Wanaume wengi waliopo tiktok ni visamvu mchele.
kwa kweli.Mara nyingi hizi zinazo tumia video kutafuna bundle ni kawaida sana.
They were ahead of time. The Same case to myspace & Hi5 Vs FB.Twitter watakua wanajilamu sana kudiscontinue Vine.
Sure mkuu, na vine ilisumbua sana enzi zake, hasa upande wa vichekesho sijui kwanini walidiscontinue.Tiktok ni copy and paste ya vine
Ma capitalist kazini, wanaangalia short term tu.Sure mkuu, na vine ilisumbua sana enzi zake, hasa upande wa vichekesho sijui kwanini walidiscontinue.
Umesoma origin ya Tiktok lakini?Great innovation of China.Mara nyingi China walituhumiwa copy paste tech za western sasa wamedhihirisha wanaweza kubuni.
Hajui anachokiongea huyo maana kulinganisha Search Engine na video App ni vitu viwili tofauti.Sasa how do these two apps even get compared while the serve different purpose?
TikTok ni app ya videos kama Instagram Google ni search engine. Na matumizi ya google ni makubwa sana how is it possible kuzidiwa na TikTok?