Hamia halotel bila kuchelewa iko vizuri sana.Mimi natumia tigo LTE hakuna kitu ... Nafikiria kuhamia haloteli.. Tigo internet itakuboa tu kaka.. Badili line kama hujaitumia kwa muda mrefu hamia halotel.. Mimi nimetumia tigo miaka kama sita kwa hio ndio maana inakuwa ngumu kuhama ila kuna siku tu nikishaweka mambo yangu sawa nitatupa hii line....
Hio inaitwa tell a friend to tell a friend to get with my friends so we can do change to halotelMpangomzima Halotel tu.
Hamia halotel mkuu,hutojuta!!!Jamani tigo 4g mbona kwangu inagoma tangia niinunuee!!!
Sio halotel ya saiv nayo ni majanga tuHamia halotel mkuu,hutojuta!!!
Nakubali mkuu, kichefu chefu tu...Bora watuletee 4G tu!Sio halotel ya saiv nayo ni majanga tu