rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 17,235
- 23,997
ni kweli haya makampuni yanawaibia wateja kwa kujitangazia huduma ambazo hazipo kama wako 4g wagawe line kwa yeyote anayetaka waache usaniiTCRA wamelala..... hawapimi kiwango na ubora wa huduma anaoupata mteja kutoka kwenye makampuni yanayotoa huduma za simu