mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,570
- 6,433
Kwa shs ngapi hii mkuu?Tigo nilishahama muda saana..now na enjoy na offer za airtel 2GB kwa siku 3 dakika 10 all nwtwork na dakika 100 airyel to airtel
brain is the beautiful part of the body.
Kwa shs ngapi hii mkuu?Tigo nilishahama muda saana..now na enjoy na offer za airtel 2GB kwa siku 3 dakika 10 all nwtwork na dakika 100 airyel to airtel
Ipo kwa njia ya airtel money tu...unaenda sehemu ya offer then unachagua internet promo kwa buku tu utaungwanishwa GB 2 for 3 days..tigo nishahama mudaKwa shs ngapi hii mkuu?
brain is the beautiful part of the body.
Unaeza ukakopaTigo wameweka Hapa mkuu, Ila safari hii wamejitahidi dk za kutosha, mb ndo usipime *149 *49#*
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda airtel money *150*60# hii ni airtel money....then nenda no.6 kisha utaona utaona Suv ..hiyo ndio itakupa bando la GB 2 kwa siku 3 kwa buku tu..utaperuzi hadi tigo utaitupa line..maana ni wezi wa kutupwaIpo kwa njia ya airtel money tu...unaenda sehemu ya offer then unachagua internet promo kwa buku tu utaungwanishwa GB 2 for 3 days..tigo nishahama muda

hela ngapiTigo nilishahama muda saana..now na enjoy na offer za airtel 2GB kwa siku 3 dakika 10 all nwtwork na dakika 100 airyel to airtel
Buku tu yaani 1000
haya makampuni yana tabia ya kuvuta watu halafu wanakuwa wezi.Nenda airtel money *150*60# hii ni airtel money....then nenda no.6 kisha utaona utaona Suv ..hiyo ndio itakupa bando la GB 2 kwa siku 3 kwa buku tu..utaperuzi hadi tigo utaitupa line..maana ni wezi wa kutupwa
Maana tigo kwa buku unapata mb 200 for one day while airtel its 2GB for 3 days..nani mwizi hapo![]()
![]()
![]()
Mimi toka mwezi wa 5 naitumia..nishaifaidi vya kutosha
*148*88#Airtel nao wameanza uwizi sasa ivi huwezi kuangalia mb zimebaki ngapi sasa sijui ni cm yangu tuu au ni wote wanao jiunga na vocha za uni
Mnalalamika nini vifurushi vile kwa ajili ya wanafunzi tu sasa nyie wanafunzi sasa
Sent using Jamii Forums mobile app

Naona utoto unakusumbuaTigo wameweka Hapa mkuu, Ila safari hii wamejitahidi dk za kutosha, mb ndo usipime *149 *49#*
Sent using Jamii Forums mobile app