Tigo wameondoa vifurushi vya chuo

Tigo wameondoa vifurushi vya chuo

Kina A.Y na F.A wametembea na faida ya mwaka mzima mnategemea nini.

Nadhani dawa ya hawa wapuuzi ni kuwa sue mahakamani tu. Tukusanye ushaihidi wa madhila wanayotufanyia wakatulipe mabilioni ya fedha.
 
Airtel nao wameanza uwizi sasa ivi huwezi kuangalia mb zimebaki ngapi sasa sijui ni cm yangu tuu au ni wote wanao jiunga na vocha za uni
Kama unatumia smartphone huna haja y kuulizia umetumia mb ngapi unaweza kutumia huduma y data usage kwenye setting
 
Njia nzuri ya kusaidia kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya mb ktk simu ni customize hiyo device yako. Unaweza kuzima baadhi ya apps kurun ktk background, isipokuwa zile zenye ulazima tu.
Mfano mimi apps ambazo nimeziruhusu zifanye kazi kote (background na foreground) ni chrome, whatsapp, messenger na gmail. Nyinginezo pindi niingaapo (foreground) ndio zinakuwa active.
 
Njia nzuri ya kusaidia kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya mb ktk simu ni customize hiyo device yako. Unaweza kuzima baadhi ya apps kurun ktk background, isipokuwa zile zenye ulazima tu.
Mfano mimi apps ambazo nimeziruhusu zifanye kazi kote (background na foreground) ni chrome, whatsapp, messenger na gmail. Nyinginezo pindi niingaapo (foreground) ndio zinakuwa active.
Naombaaa maelezo apaaaaaaa mkuu plzzzzz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majambazi ya Tigo, leo pia yametoa kifurushi cha internet 2000Tshs 1GB kwa siku moja....hapa kimeondolewa Leo. Yaani kwa macho kipo ila ukijaribu kujiunga unakuta kinaandika 200MB kwa wiki 3000TZS, hawa Tigo pasua kichwa aisee!!
 
Tigo nilishahama muda saana..now na enjoy na offer za airtel 2GB kwa siku 3 dakika 10 all nwtwork na dakika 100 airyel to airtel
 
Back
Top Bottom