Tido Mhando atemwa TBC



Tido ni mtu mzima kama nafasi ya BBC ilikuwa rahisi kuliko TBC why he accepted the job.
Tido ndiye huyu huyu aliyeendesha mahojihano na Kikwete yaliyokuwa na maswali yanayo mfavour Kikwete
Tido huyuhuyu aliyerudiarudia mkutano wa Kikwete na wazee wa Dar es Salaam siku Rais alipowatukana na kuwatusi wafanyakazi
Tido huyuhuyu aliyekatisha matangazo ya Bungeni siku Dr Slaa alipokiuwa anaipa fact serikali
Ni Tido huyuhuyu aliyekatisha matangazo siku chadema walipokuwa wanafanya uzinduzi wa kampeni, na baadaye kutetea uamuzi wake huo
Tido aliyekuwa anatoa matangazo yaliyokuwa yanaonyesha kazi za jeshi na mafanikio ya Jeshi katika kipindi cha Kikwete kipindi cha kampeni
Tido huyuhuyu aliyekuwa anaendesha matangazo ya kuonyesha mafanikio ya CCM kipindi cha kikwete wakati wa kampeni (si kosa kuonyesha mafanikio ya serikali ya CCM lakini alikuwa wapi mpaka kipindi cha uchaguzi)
Bado Tido alijitahidi kujaribu kufanya mahojiano na Lowasa kutaka kumuosha
Mwisho bado aliipendelea CCM ukifuatilia alipokuwa anaweka kuonyesha kampeni za vyama pinzani utaona alikuwa hawaonyeshi wakiongea point ni either wakisalimu halaiki iliyofika au kuonyesha helkopta ikifika


Sikatai toka afike TBC imekuwa na muonekano wenye kuvutia lakini matangazo yenye kukibeba chama cha wala nchi
Sawa atakuwa kamwagwa kimizengwe lakini ni wale aliowabeba ndio waliomwaga, here comes Suzan
 
kwenye red si kweli kwa mujibu ELRA 2004/6/7 mfanyakazi anatakiwa apewe notice ya siku 28 as well as mfanyakazi naye anatakiwa atoe notice ya siku 28 kwa mwajiri,hili pia la muhando linakubaliwa badala ya kukupa notice ya siku hizo,unakuwaterminated lkn unalipwa haki zako zote
 
Pole Tido ulishindwa kuwalidhisha mabwana wawili kwa wakati mmoja.
 
Mwacheni akapumzike jamaniiiiiiiiiiiii,maneno mengi ya nini?:teeth::teeth::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo:
 
Amewajua mafisadi. Wanakutumia baada ya hapo wanatupa jalalani. Bado Zitto!
 

pole sana suzan mongi hiyo ndio sisiemu iliowarudisha tanzania....
Mnakaribhswa chaddy
 
Frankly speaking, TIDO kaibadilisha TBC sana and thus, kaacha bonge la legacy!!! These days, TBC wanapata a lot revenue through matangazo contrary to the past. Hii ni baada ya jitihada za Tido ku-raise public image ya iliyokuwa TVT(now, TBC) ambapo alifanikiwa sana.

Naona supremacy ya ITV katika tasnia ya habari kupitia TV hakika itarudi kwa kasi!!! Why? Kwa TIDO kuondolewa TBC ni dhahiri kwamba CCM wanataka kuendesha TBC kichama zaidi kuliko kitaifa and thus tusitarajie muujiza wowote kutoka kwa mkurugenzi mpya!!!
mkuu nimewaza na kuwazua lakini nimekosa jibu

Typical
 
wakubwa huu ndio ufisadi wa ccm ulivyo. Hakuna urafiki wa kweli wala uadui wa kweli as long as mna interest zinazo fanana. Tido kawasaliti walitaraji kua atawapa favours zaidi, then matokeo yake akasoma alama za nyakati na kuona jamii inataka then akatoa nafasi. Mi namshauri tido asirudi tena ili alinde heshima yake kuliko kulazimisha then aondoke kwa scandel si mnajua ccm walivyo wazuri kwa kazi hiyo?
 
pole mzee Tido but hiyo isikusumbue sana, Mungu ni mwaminifu atakupa sehemu nyingine,
bt umeiweka wazi ccm kwamba haifanyi kitu ikiwa madarkani, tumechoka sana
 
wakubwa huu ndio ufisadi wa ccm ulivyo. Hakuna urafiki wa kweli wala uadui wa kweli as long as mna interest zinazo fanana. Tido kawasaliti walitaraji kua atawapa favours zaidi, then matokeo yake akasoma alama za nyakati na kuona jamii inataka then akatoa nafasi. Mi namshauri tido asirudi tena ili alinde heshima yake kuliko kulazimisha then aondoke kwa scandel si mnajua ccm walivyo wazuri kwa kazi hiyo?
 
alijitahidi kuitangaza injili pale shirika la habari la TAIFA!
 
Mi naona watu wanaruka ruka tu kweye hoja zao. Members wa JF tunakuwa ka vinyonga. Hii ni kama siku ya msiba wa marehemu hutasikia mabaya yake.

Tujiulize

  • Kwani Tido alijiriwa kwa kufuta sheria za ajira mashirika ya umma? Iweje alipata ajira kwa sheria nyingine alafu watu watake mkataba wake usitishwe kwa sheria tofauti.

  • Je mshahara wa tido ilikuwa kwenye viwango vya hayo mashirika ya umma??

  • Pia naomba kuelimishwa hivi TBC iko chini ya Ofisi wa Waziri mkuu au Wizara ya habari.?
 


Tido ulianza kugusa pabaya baada ya kufanya kosa la kiitifaki. Na kama ungekuwa mjanja ungeliona hilo mapema. Siku uliyomhoji Pinda kabla ya kumhoji Lowasa. Ilionekana kwako Lowasa Kiitifaki yuko juu ya Pinda. Hilo ni kosa kubwa sana kiitifaki. Alitakiwa Pinda akimaliza, kama utamhoji mtu mwingine awe ni JK mwenyewe. Ila sidhani kama Pinda ana vinyongo vya hivyo ila najua watu wa itifaki walilifanyia kazi.

Pia usilalamike ila ukumbuke wakati Hawa Ghasia anamtukana Prof Baregu kuhusu kunyimwa mkataba kwa staili kama ulivyofanyiwa, hilo hukuliona ni tusi na uliruhusu majibu ya Ghasia kurudiwa TBC. Nafikiri wengi mnakumbuka Ghasia alimwambia Baregu akajiuze nje kama anaona anauzika. Tido hakuliona hilo kuwa na yeye yuko kwenye mkataba ambao nao utaisha. Mkumbuke Jay Dee kaimba siku hazigandi. Hayo si yamekukuta wewe tu bali hata vyuoni maprof kibao wamefanyiwa kama wewe.

Pia ukumbuke kuwa ulikataa kurusha malalamiko ya wahadhiri wa vyuo vikuu na shirika lako likuyapotosha ati wanadai mishahara zaidi wakati suala lilikuwa ni pension ndogo inayotolewa na PPF pamoja na tabia ilozuka serikalini ya kukatisha mikataba bila utaratibu. Ungekuwa umeruhusu mahojiano ya TBC na wahadhiri kurushwa, wananch wangejua ni nini unacholalamikia.

Mwisho tu nakukumbusha kuwa mwanasiasa akishakutumi, mwisho anakufanya kama toilet paper. Huwa anakutupa na kukuflashi bila hata ya kuangalia umechafuka au la.
 


Kuna post ilikuwa humu jamvini ilikuwa imeletwa na Zito Kabwe mwaka jana au mwaka juzi ikionyesha mishahara ya akina Tido. Tido alikuwa mmoja wa watu waliokuwa wanalipwa vizuri sana katika nchi hii. Kama kuna mtu anayeweza kuirudisha au kutupa link atusaidie
 
Hata kama siyo ndg. inaonekana anapenda sana jina MUHANDO liskike hewani
Hivyo moja ya vigezo vya kuingia TBC labda uwe unaitwa Muhando!
Hapo imekaaje?:loco:
 
Jamaa analalamika walivyom fire bila notice ya miezi sita kwa mujibu wa taratibu/kawaida za serikali

Mkataba unasema nini kuhusu non-extension of the contract, sio habari ya kawaida ya serikali.

Hukusoma mkataba? Walisema lazima wakupe notice ya miezi sita?
 
The amazing thing about politics is this: Depending on circumstances, a politician can turn a stone into bread, and vice versa!!!
 
TBC ni ya watanzania...

Tido aliharibu siku alipokataa kurusha matangazo ya ufunguzi wa chadema. Alifavor CCM. Kwahiyo serikali imemuona kwamba hafai! Let him go!
Xcuse u me!!!! Serikali ipi hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…