MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,202
- 1,229
greatthinkers
hivi hakuna watanzania wengine wanaoweza kutangaza?
Kwa nini tbc imejaa ukoo mmoja?
Tido kwangu ni kicheff cheff:a s-smoking:
Think.
Jamaa analalamika walivyom fire bila notice ya miezi sita kwa mujibu wa taratibu/kawaida za serikali
Mkataba unasema nini kuhusu non-extension of the contract, sio habari ya kawaida ya serikali.
Hukusoma mkataba? Walisema lazima wakupe notice ya miezi sita?
Safi sana jamaa katumia pesa kibau za umma kwa maendeleo ya TBC kwa kiasi kidogo natumai na yule "demu" wake nae watamtoa pale...
Ridiculous!Kwanza tunajadili kuhusu MAPINDUZI aliyoyafanya katika kitengo husika, Kubali kwa TVT to TBC jamaa amefanya mapinduzi.
Alafu kwa suala la ubaya wake , kwa sasa ni rahisi kujua hata kama jamaa alikuwa ni mbaya........ kwa picha halisi tukubali kuwa alikuwa anafanya mambo mmengine under pressure..... thats why kwa yalipo fikia na ubaya wake ndo tunaona kuwa msukumo wa mambo mengine ulikuwa unatika kwa wakubwa so amefika mwisho na anaweza kuonekana shujaa.... Ni mtazamo wangu tu.
nasikia hata jina la tbc litafutwa ili lirudi lile la zamani rtd, kwani huyu jamaaa amewafanya baadhi ya wafanyakazi tbc wakose morali wa kazi kwa kuwapendelea baadhi yao na ndio hao wanaolialia maana sasa ni kazi tu na si majungu aende tu, juzijuzi 2 amelipwa tshs 12m za malimbikizo ya mshahara ambao alikuwa hachukui kwa kuwa alikuwa anapata marupurupu makubwa na mshahara akaona ukae tu, hata hivyo mkewe bado yuko ulaya aende tu alizidi kujikomba amewaharibia sana wafanyakazi walioacha kazi sehemu zingine na kuja tbc. Toka............ Toka............ Toka....................... (wachina miaka 25 ndipo tuachiwe mitambo michakavu aibu sana)
halafu anataka notice ya miezi sita, ushawahi sikia hilo, labda mi mshamba wa mikataba.Sasa Taso anamlalamikia nani? The public? ili tumsaidie vipi? Ku sympasize naye?
Kwa hilo naona hana haja ya kulalamika nje nje, aende kwa vyombo husika huko apewe haki hake!
Sina mengi ya kusema but this twist ni vigumu sana kuielewa
Kwa madudu niliyoyaona ambayo yamenifanya nibakie kuangalia mpira tu unapotaja TBC sidhani kama sentensi hii ni sahihi! Hivi kwa nini tangazo lile la nanihii walilitoa tena likiwa na sahihi ya Tido?Kuenguliwa kwake kumefanyika takriban miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu ambao TBC iliripoti kwa kina na bila kupendelea chama chochote na hivyo kujivunia sifa kemkem kutoka kwa watazamaji wa TBC1 na wasikilizaji wa redio hiyo ya umma.
duh!mkuu mbona unaonekana una chuki binafsi ya hali ya juu,huo sio uungwana hata kidogo!
halafu anataka notice ya miezi sita, ushawahi sikia hilo, labda mi mshamba wa mikataba.
Hivi muajiri gani atakuachia ofisi yake miezi sita wakati unajua amesha ku fire? Si unaweza kuhujumu ofisi?
i tell you its a peace of a hard rock!
before kuna watu walikuwa watoa comments zilikokuwa negative kuhusu tido leo hii hao hao wanatoa positive comments kuhusu tido baada ya kuachishwa kazi ndio yale ya kumsifia mtu baada ya kufariki