TICTS yamuondoa Dr. Mwakyembe uchukuzi!

TICTS yamuondoa Dr. Mwakyembe uchukuzi!

Mwakyembe kaondolewa baada ya kuanza kuigusa Home Shopping Centre kule bandarini ....yaani hapo ndipo alipoingia choo cha kike wenzake wanachuchumaa yeye kasimama....mxxxxxx

It seems watu wanajua mengi sana humu jamvini lakini wanayagusa kimafumbo fumbo na wengine wanadonoa kidooogo!! Tiririka brothe, kagusaje maslahi ya hao wadosi wa HSC?? Ili tuwajue vizuri na bdhaa zao wakanunue wadosi wenzao sisi tuzisuse kabisa
 
Hakuna kiongozi yeyote atakayeleta mabadiliko ya kweli na endelevu toka ccm si magufuri si mwakyembe, wote wako kwa ajili ya misheni za ulaji na kidumu chama cha mapinduzi.
Tunachohitaji ni uongozi mpya nje ya ccm ili kuvunjavunja mitandao ya ulaji rushwa na hujuma na kutengeneza system mpya endelevu za utendaji na uwajibikaji ili kukidhi mahitaji ya sasa na badaye ya nchi.
 
Kitendo cha Mwakyembe kumtishia mkurugenzi wa TICTS juu ya utozaji exchange rate tofauti na ya BOT,inaonekana ameingilia maslahi ya kigogo kwani mnakumbuka TICTS iliongezewa mkataba wa miaka 25 kimya kimya.Karamagi pale ni boya tuu

Hizi ni RAMLI tu zinaendelea lakini ukweli ni kuwa Mwakyembe hayupo tena Uchukuzi na his boss knows better sababu za kumtoa huko,period!
 
Naubaliana nawe LUKINDO kuwa tuamchagua raisi na anachagua washuri wake. Tutambue kuwa yeye ni binadamu na hawezi kujua/kusimamia kila jambo ndo maana anahitaji ushauri kutoka kwa wateule wake. Shida kubwa iliyopo ni kuwekana kishikaji badala ya kiuhalisia na kitaaluma

Kwani nchi inaongozwa na rais au inaongozwa na washauri!?
Basi tubadilishe mfumo wa uchaguzi na badala yake tuchague washauri then wao wajichagulie rais badala ya mfumo wa sasa ambapo tunamchagua rais alafu naye anajichagulia washauri!
Hii itatupunguzia muda na gharama tunazopoteza/tulizopoteza kufanya tuliyoyafanya!

 
Hakuna kiongozi yeyote atakayeleta mabadiliko ya kweli na endelevu toka ccm si magufuri si mwakyembe, wote wako kwa ajili ya misheni za ulaji na kidumu chama cha mapinduzi.
Tunachohitaji ni uongozi mpya nje ya ccm ili kuvunjavunja mitandao ya ulaji rushwa na hujuma na kutengeneza system mpya endelevu za utendaji na uwajibikaji ili kukidhi mahitaji ya sasa na badaye ya nchi.

Ni kweli kabisa tuache kulalamika na Oktoba tufanye kweli.
 
Sasa hivi madawa ya kulevya yatakuwa yanapita airport free Jk ameamua kumfufua Sitta huyu mzee namdharau kuliko hata dekio
 
Tz ni nchi nzuri sana,tatizo ni viongozi tulionao kutokujitambua.
 
Back
Top Bottom