...sisiem wakikupa uongozi, kwanza unatakiwa kujua kwamba unatakiwa kulinda njia zao wanazotumia vigogo kujiingizia kipato kisicho halali; uwe tayari kulinda ufisadi wao; husiguse njia za kupitisha magendo, kama vile madawa ya kulevya, nk!
Kitendo cha Mwakyembe kumtishia mkurugenzi wa TICTS juu ya utozaji exchange rate tofauti na ya BOT,inaonekana ameingilia maslahi ya kigogo kwani mnakumbuka TICTS iliongezewa mkataba wa miaka 25 kimya kimya.Karamagi pale ni boya tuu
U mean kama yule aliechemshwa kama mboga kwa sababu ya wivu wa mapenzi..?!Inasikitisha sana. Ningekuwa na uwezo wa kupenya ikulu namtwanga rais risasi nyingi sn alafu lzm nile na nyama yake
Ni kama wakati ule alipomtoa magufuli miundo na kumpeleka uvuvi!jamaa akawasha moto akamrudisha!sasa hii ya jana ni mshangao mwingine...kumtoa mwakyembe uchukuzi??!!!
U mean kama yule aliechemshwa kama mboga kwa sababu ya wivu wa mapenzi..?!
Minime choka kabisa mkuu, hili li nchi lingekuwa daladala ningeshuka nikapanda jingine. Mwakyembe alionyesha kweli anachapa kazi kwa umakini na kupunguza wizi, ah, natamani uchaguzi ungekuwa kesho nikaonyeshe hasirazangu.
Mmmh TZ ni zaidi ya tuijuavyo, si dhani kama washauri wa raisi wanamsaidia kwa dhati, sijui ilifaa vipi kwa kipindi hichi kifupi kufikia ukomo wa bunge na baraza la mawaziri kuwabadili Mwakyembe na Sitta, je, kuna tija gani? Hapana, haisaidii kabisa, kilichotakiwa.ni kuziba mapengo yalowazi bila kuwagusa wengine, labda tuu kuwapandisha manaibu na kuwapa wengine nafasi hizo, ila tunapiga marktime sana, siasa zinapotosha utendaji halisi wa watu