Ticha amchinja mwanafunzi

Ticha amchinja mwanafunzi

Sasa mkuu inakuwaje asilimia 99 ya magaidi wa kiislam wanasema wanatetea dini, na kwamba wakifa watakwenda mbinguni?
Na vipi kuhusu mistari ya kichochezi iliyoko katika quran? Mistari inayohimiza kuwakata vidole na kuwakata vichwa wale "wasioamini"!!!!?

Nenden kwa mantiki.... VIP ULE MSTARI UNAOSEMA, "......waleten hapa na wachinjwe mbele yangu...."
Analieni mambo kwa macho mawili.. MNAJUA TATIZO NI NINI????????
 
JOSEPH KIBWETERE aliteketeza waumini zaidi ya 1000 kwa moto au mshasahau???????????
 
Hawa ustadh wana visa vingi vibaya. waislaam wanapaswa kuwa na utaratibu mzuri kuwaandaa na kuajiri waalimu wa madrasa. Baadhi ya hao ustadh ni watu waovu kabisa.

Kama MAPADRI wanasomeshwa miaka kadhaa na bado WANALAWITI, MASHOGA NA BAADHI WASHAOLEWA NA VIDUME WENZAO..... elimu gan wapewe hawa viongoz wa dini zetu....
mi naona this is Personal matter not Religional matter
 
Ninaomba usalama wa taifa kwa unyenyekevu na uadilifu mkubwa wachunguze kwa kina madrasa zote maana nasikia kuna ukatili mkubwa unaofanyika dhidi ya watoto wa kiume kama kuingiliwa kinyume cha maumbile. Naomba uchunguzi ufanyike kubaini hili.

Hebu kuwa mkweli wewe hivi Kuna wanaoweza kulawiti dunian zaid ya MAPADRI NA WACHUNGAJI...? au uchunguzi ushafanyika MAKANISANI...... mmmmh! cjui
 
Isije kuwa wamefcha jina aliyeuawa anaweza kuwa MKRISTO

waandish wa habari fuatilieni hilo kwa karibu

sidhan km angekuwa mwislam wangeshindwa kutaja hata jina moja

magaidi walaaniwe

Jina la mtoto: Jamal Salum
Rafiki yake: Ramadhan Hamisi
Mama yake: Habiba Selemani
Baba yake: Salum Ally

Hapo vp...???
 
Chanzo cha Mwalimu kumchinja mwanafunzi ni nini ufafanuzi tafadhali
 
Waislamu wana mambo ya kimwili sana na siyo roho....hata ukiangalia video nyingi wanazorushiana watu kwenye whatsap ni waislamu kuchinja wenzao kuwachapa viboko na mambo mengi ya kipuuzi.
 
Nenden kwa mantiki.... VIP ULE MSTARI UNAOSEMA, "......waleten hapa na wachinjwe mbele yangu...."
Analieni mambo kwa macho mawili.. MNAJUA TATIZO NI NINI????????

same thing! biblia imejaa ukatili na uchochezi same as quran, UKATILI WA HALI YA JUU!
 
Kama MAPADRI wanasomeshwa miaka kadhaa na bado WANALAWITI, MASHOGA NA BAADHI WASHAOLEWA NA VIDUME WENZAO..... elimu gan wapewe hawa viongoz wa dini zetu....
mi naona this is Personal matter not Religional matter

MASHOGA wengi wapo MOMBASA na ZANZIBAR kwa afrika mashariki!Je unajua ni wakristo asilimia ngapi katika maeneo hayo?
 
Back
Top Bottom