Mwanafunzi wa Bishop Kibira amefariki kwa kujinyonga

Mwanafunzi wa Bishop Kibira amefariki kwa kujinyonga

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
970
Reaction score
1,942


Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya Bishop Bikira iliyopo Kata ya Nyakato Tarafa ya Bugabo Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera, amekutwa amefariki dunia, baada ya kujinyonga kwa kutumia shuka.

Akizungumza na Waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Blasius Chatanda amesema kuwa Mwanafunzi huyo, Jovan Revelian Justinian alijinyonga kwa kutumia shuka,aliyoifunga juu ya dali ndani ya bweni,baada ya kuwa na msongo wa mawazo, uliotokana na kubakishwa shuleni.
 
Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya Bishop Bikira iliyopo Kata ya Nyakato Tarafa ya Bugabo Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera, amekutwa amefariki dunia, baada ya kujinyonga kwa kutumia shuka.

Akizungumza na Waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Blasius Chatanda amesema kuwa Mwanafunzi huyo, Jovan Revelian Justinian alijinyonga kwa kutumia shuka,aliyoifunga juu ya dali ndani ya bweni,baada ya kuwa na msongo wa mawazo, uliotokana na kubakishwa shuleni.
Jina la Shule Tu kizungumkuti
 
Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya Bishop Bikira iliyopo Kata ya Nyakato Tarafa ya Bugabo Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera, amekutwa amefariki dunia, baada ya kujinyonga kwa kutumia shuka.

Akizungumza na Waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Blasius Chatanda amesema kuwa Mwanafunzi huyo, Jovan Revelian Justinian alijinyonga kwa kutumia shuka,aliyoifunga juu ya dali ndani ya bweni,baada ya kuwa na msongo wa mawazo, uliotokana na kubakishwa shuleni.
Pole kwa wazazi. Alibakishwa shuleni kutokana na ukosefu wa ada ama kitu gani?

Nani aliridhia jina la shule lenye ukakasi namna hii. Askofu Bikira huyo askofu jina lake ni Bikira, au jina linamaanisha huyo Askofu alikuwa katika hali ya ubikira?
 
Askofu bikira (virgin bishop)
Nimesikia Leo nipashe radio one dogo hakutimiza wastan katika masomo yake hvyo shule ikaamua walio under average wanatakiwa kubaki shule so dogo akaona kama dharau akaona aende na bikra yake kama askofu wake
 
Wazazi tulee watoto kwa mamna zote..sio vitisho vitisho..si kila mtoto anatakiwa kuwa namba 1-10
Wengine tuliichukia shule😀😀tunakutana mitaani huku na Top cream😀😀
 
Kwanini mwanangu umefanya hivi, hujamuwaza mama yako jamani atapokeaje mwili huo. Eeenh Mungu saidia watoto wetu hawa
Mamake angekua anampenda na kumjali mwanae asingempeleka kwenye hyoshule mana nikama alimpeleka utumwani syo shuleni haya mambo yakubakishna shule kisa wastan hata mie yananikwaza sana mwanangu hajabakishwa ila nikifikiria walio bak napata simanzi
 
Mamake angekua anampenda na kumjali mwanae asingempeleka kwenye hyoshule mana nikama alimpeleka utumwani syo shuleni haya mambo yakubakishna shule kisa wastan hata mie yananikwaza sana mwanangu hajabakishwa ila nikifikiria walio bak napata simanzi
Usimlaumu mama inawezekana baba ndiyo mtoa amri. Miye nimawaza tuu mama aliyekaa nae tumboni miezi tisa.
 
Taarifa ya polisi ITV: Kwamba mwanafunzi alifaulu wastani wa 30 na wastani wa shule ni 60, hvyo utaratibu wa shule wanaopata chini ya wastani hubaki shule ili kujisomea kufikia wastani wa shule.
Dogo hakupenda kubaki shule akajiondoa roho kawaachia mwili ulioanza kuharibika 🤔
 
Usimlaumu mama inawezekana baba ndiyo mtoa amri. Miye nimawaza tuu mama aliyekaa nae tumboni miezi tisa.
Mkuu inasikitisha sana hii staili yakubakisha mtoto shule kisa maks tena kdato cha 3 yani nchi hii kila mwenye shule anajiamulia lakwake wizara ya elimu kimya wizara ya ngwajima ya jinsia na watoto kmyaa wakati kwenye kutokufunga shule kwajili ya mapumziko kunahaki za watoto zinapotea wao wanasubiri mtu atangaze kuuza mnduku ndo wamwandame. haya mengine hayawahusu mana hayana kiki😥
 
Shule ya sekondari BISHOP BIKIRA??? mbona jina la shule lina ukakasi
Hivi BISHOP anaweza kuwa BIKIRA? Nijuavyo bikira inaendana na Mwanamke...
Bikira Maria, Bikira Martha, Bikira Esther, Bikira Ruth nk nk Sijawahi kusikia Bikira Paul au Bikira Matthew

Pole kwa familia iliyopoteza kijana wao.....
 
Shule ya sekondari BISHOP BIKIRA??? mbona jina la shule lina ukakasi
Hivi BISHOP anaweza kuwa BIKIRA? Nijuavyo bikira inaendana na Mwanamke...
Bikira Maria, Bikira Martha, Bikira Esther, Bikira Ruth nk nk Sijawahi kusikia Bikira Paul au Bikira Matthew

Pole kwa familia iliyopoteza kijana wao.....
Hiyo shule inaitwa BISHOP KIBIRA na wala siyo BIKIRA kama waandishi uchwara walivyoandika. Hata huyo afande anatamka kabisa KIBIRA lakini mwandishi anaandika Bikira uenda alikuwa anawaza mengine sababu hata afande anasema tarafa ya Bugando badala ya tarafa ya Bugabo. Pole kwa wazazi.

View: https://youtu.be/9_bE1-T73wY?si=EyltxepFqVxqrgzO
 
Askofu bikira (virgin bishop)
Nimesikia Leo nipashe radio one dogo hakutimiza wastan katika masomo yake hvyo shule ikaamua walio under average wanatakiwa kubaki shule so dogo akaona kama dharau akaona aende na bikra yake kama askofu wake
Hiyo shule inaitwa BISHOP KIBIRA na wala siyo BIKIRA kama waandishi uchwara walivyoandika. Hata huyo afande anatamka kabisa KIBIRA lakini mwandishi anaandika Bikira uenda alikuwa anawaza mengine sababu hata afande anasema tarafa ya Bugando badala ya tarafa ya Bugabo. Pole kwa wazazi.
View: https://youtu.be/9_bE1-T73wY?si=EyltxepFqVxqrgzO
 


Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya Bishop Bikira iliyopo Kata ya Nyakato Tarafa ya Bugabo Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera, amekutwa amefariki dunia, baada ya kujinyonga kwa kutumia shuka.

Akizungumza na Waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Blasius Chatanda amesema kuwa Mwanafunzi huyo, Jovan Revelian Justinian alijinyonga kwa kutumia shuka,aliyoifunga juu ya dali ndani ya bweni,baada ya kuwa na msongo wa mawazo, uliotokana na kubakishwa shuleni.
Mods na mtoa thread hiyo shule inaitwa BISHOP KIBIRA na wala siyo BISHOP BIKIRA kama ilivyoandikwa. Hata huyo afande anatamka kabisa BISHOP KIBIRA lakini mwandishi anaandika Bikira uenda alikuwa anawaza uasherati. Pole kwa wazazi.
 


Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya Bishop Bikira iliyopo Kata ya Nyakato Tarafa ya Bugabo Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera, amekutwa amefariki dunia, baada ya kujinyonga kwa kutumia shuka.

Akizungumza na Waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Blasius Chatanda amesema kuwa Mwanafunzi huyo, Jovan Revelian Justinian alijinyonga kwa kutumia shuka,aliyoifunga juu ya dali ndani ya bweni,baada ya kuwa na msongo wa mawazo, uliotokana na kubakishwa shuleni.
Bishop bikira ni jina la mtu.
 
Back
Top Bottom