Ticha amchinja mwanafunzi

Ticha amchinja mwanafunzi

Ok!!!

Hao wachache unaowasikia wakihubiri hiyo violence kwenye media mimi nawaita "some" wewe
umeamua kuwaita "majority" wanaotumia "scripture" may be!!!!!

Sasa sijui Qur'an nayo umeiweka humo kwenye scripture?????!!!!!

Ndiyo Mkuu, nieiweka humohumo kwenye scriptures, au nimekosea Mkubwa?
 
Kwa mfano kamchinja mtoto aliyeitwa Ally Thabit una maoni gani???!!!!

sina maana ya kuwa wakristo n bora kuliko waislamu

namaanisha serikali yaweza kuwa inaogopa joto la kidini ambalo lilishaanza kupoa

lasivyo laana itawatafuna wambagala,geita zanzibar waliochinja watu km mnofu wa bata mzinga
 
Hii dini yetu hii ndio maana wanatuita magaidi haya maalim mengine bila shaka yameletwa na chadema/ccm ili yatuchafue sisi waislam safi, lakn kwa hakika watashidwa kwa uwezo wa Allah
Inshaallah! RIP mtoto
 
sina maana ya kuwa wakristo n bora kuliko waislamu

namaanisha serikali yaweza kuwa inaogopa joto la kidini ambalo lilishaanza kupoa

lasivyo laana itawatafuna wambagala,geita zanzibar waliochinja watu km mnofu wa bata mzinga

Wataficha gazetini au humu na.atazikwa kwa taratibu gani???!!!
Haifichiki hii mkuu
 
Hii dini yetu hii ndio maana wanatuita magaidi haya maalim mengine bila shaka yameletwa na chadema/ccm ili yatuchafue sisi waislam safi, lakn kwa hakika watashidwa kwa uwezo wa Allah
Inshaallah! RIP mtoto

Umeshaambiwa alikuwa mgonjwa wa akili "kama inavyoelezwa" labda aliadhiniwa na alikuwa akitoa shahada sawa ila ni unyonge wa hali ya juu kukubali kitendo hiki kinasibishwe na waislamu safi kama wewe unavyojitambulisha!!!!!!!
 
Hivi imeshajulikana kwa nini alifanya uamuzi huo?

Takbiil alahwakbal chinjaaaa!! Mh! Kweli hawa watu wana roho za ajabu pamoja na kwamba ni tukio linaloweza kutokea mazingira yoyote lakini na iman yao pia duuuu!!!
 
Kama ni "scriptures" kwa maana ya religious writtings basi Quran si moja ya vitabu vinavyohubiri violence!!!!!

Sasa mkuu inakuwaje asilimia 99 ya magaidi wa kiislam wanasema wanatetea dini, na kwamba wakifa watakwenda mbinguni?
Na vipi kuhusu mistari ya kichochezi iliyoko katika quran? Mistari inayohimiza kuwakata vidole na kuwakata vichwa wale "wasioamini"!!!!?
 
hata kama mtoto ni mkristu lakini muuaji naye si kishauawa basi.. rest in peace dogo. na pole kwa familia...!!!
 
Sasa mkuu inakuwaje asilimia 99 ya magaidi wa kiislam wanasema wanatetea dini, na kwamba wakifa watakwenda mbinguni?
Na vipi kuhusu mistari ya kichochezi iliyoko katika quran? Mistari inayohimiza kuwakata vidole na kuwakata vichwa wale "wasioamini"!!!!?

Nimesubiri ufike hapa kwa muda mrefu sana!!!!!!

Asilimia 99 ya unaowaita magaidi unaitoa kwenye population (N)ipi mkuu???!!!!
Hao wanaitwa magaidi au wanajiita magaidi???!!! Kwa nini jina hili na sio jingine???!!!
Unasema wanatetea dini "may be" ipi lakini???!!!!
Hiyo unayoiita mbinguni ni wanaenda kwa violence basi genocide ya great lakes imepeleka wengi!!!!!!
Hivi yule nabii (Issa ibn Mariam/ Yesu/ Jesus Christ/ Mungu mwana) aliposema kuwa kama kuna msafi arushe jiwe alikemea kupiga mawe au alikumbusha kuwa kupiga mawe si mbaya ila apige aliye msafi tu!!!!????

Ukiweka mistari ya kichochezi iliyomo humo utakuwa umenisaidia sana!!!!
 
Takbiil alahwakbal chinjaaaa!! Mh! Kweli hawa watu wana roho za ajabu pamoja na kwamba ni tukio linaloweza kutokea mazingira yoyote lakini na iman yao pia duuuu!!!

1994 genocide nadhani unaikumbuka??!!!
Katika nchi husika population ratio kwa mujibu wa dini ilikuwaje!!????
Hawa imani zao vipi???!!!
 
Nimesubiri ufike hapa kwa muda mrefu sana!!!!!!

Asilimia 99 ya unaowaita magaidi unaitoa kwenye population (N)ipi mkuu???!!!!
Hao wanaitwa magaidi au wanajiita magaidi???!!! Kwa nini jina hili na sio jingine???!!!
Unasema wanatetea dini "may be" ipi lakini???!!!!
Hiyo unayoiita mbinguni ni wanaenda kwa violence basi genocide ya great lakes imepeleka wengi!!!!!!
Hivi yule nabii (Issa ibn Mariam/ Yesu/ Jesus Christ/ Mungu mwana) aliposema kuwa kama kuna msafi arushe jiwe alikemea kupiga mawe au alikumbusha kuwa kupiga mawe si mbaya ila apige aliye msafi tu!!!!????

Ukiweka mistari ya kichochezi iliyomo humo utakuwa umenisaidia sana!!!!

Asilimia 99 naitoa kwenye popilation ya magaidi na makundi ambayo yameshawekwa kwenye orodha ya magaidi kama alqaeda, alshabaab, boko haram, Islaic Jihad, LRA na makundi mengine ya kiuwaji, humo ndiyo namoitoa hiyo 99%
Unaweza kuchagua kuwaita jina jingine litakalopendeza malengo, wapigania uhuru, watu wa mungu, lakini mii nafuata jina rasmi ambalo ni WALETA KIHORO tu!
Wanasema, si mimi nayesema, wanasema wao wanatetea dini, sasa sijui ni dini gani wanayosemaga
"Takibir...Allah Akbar", ?!!
Hayo ndiyo mafundisho yao ukifa unampigania mungu unakwenda mbinguni, kama genocide imepeleka wengi basi ndiyo hivo!!
Huo mstari wa yesu nimeusahau mpaka nikaazime biblia kwa jirani.
Quran (8:12) - "I will cast terror into the hearts of those who disbelieve. Therefore strike off their heads and strike off every fingertip of them"
 
Hii habari ni ya majuzi iliwekwa hapa na inasemekana huyo Ustaadhi alitaka kumlawiti mtoto aliposhindwa akamchinja...which is which?
 
Asilimia 99 naitoa kwenye popilation ya magaidi na makundi ambayo yameshawekwa kwenye orodha ya magaidi kama alqaeda, alshabaab, boko haram, Islaic Jihad, LRA na makundi mengine ya kiuwaji, humo ndiyo namoitoa hiyo 99%
Unaweza kuchagua kuwaita jina jingine litakalopendeza malengo, wapigania uhuru, watu wa mungu, lakini mii nafuata jina rasmi ambalo ni WALETA KIHORO tu!
Wanasema, si mimi nayesema, wanasema wao wanatetea dini, sasa sijui ni dini gani wanayosemaga
"Takibir...Allah Akbar", ?!!
Hayo ndiyo mafundisho yao ukifa unampigania mungu unakwenda mbinguni, kama genocide imepeleka wengi basi ndiyo hivo!!
Huo mstari wa yesu nimeusahau mpaka nikaazime biblia kwa jirani.
Quran (8:12) - "I will cast terror into the hearts of those who disbelieve. Therefore strike off their heads and strike off every fingertip of them"

Good,jikumbushie huo mstari then tutaendelea sababu compare and contrast inakuwa nzuri tunapoongelea hiyo violence pande zote!!!!!!

Otherwise ni crticism inakuwa ambayo sasa hapo mie sio mzuri wa ku criticize "imani" sio dini za wengine!!!!

Takbir - Allah akbar ni kiarabu na lugha ni symbolic sasa "kuna mungu mwana, mungu baba na roho mtakatifu" mathalani na hapo Yesu anaingia, waumini wa imani nyingine wanaona sio sawa sababu interpretation ya "mungu" ni symbolic itakuwa hiyo maneno uliyoleta?????!!!! Wanaposema Mungu mkubwa mathalani wanamaanisha mwana ,baba, roho mtakatifu au mungu yupi???!!!!!

Hivi wakati wa Genocide 1994 waliuana watu wa dini zipi???!!!! Kulikuwa na traces za terorism???!!Au just violation of human rights na piece distortion???!!!!

Waleta kihoro sawa as you wish,mbele ya nani???!!!!Umesoma habari ya Guantanamo na waliomo in connection with the "BAPTISTS"???????
 
Good,jikumbushie huo mstari then tutaendelea sababu compare and contrast inakuwa nzuri tunapoongelea hiyo violence pande zote!!!!!!

Otherwise ni crticism inakuwa ambayo sasa hapo mie sio mzuri wa ku criticize "imani" sio dini za wengine!!!!

Takbir - Allah akbar ni kiarabu na lugha ni symbolic sasa "kuna mungu mwana, mungu baba na roho mtakatifu" mathalani na hapo Yesu anaingia, waumini wa imani nyingine wanaona sio sawa sababu interpretation ya "mungu" ni symbolic itakuwa hiyo maneno uliyoleta?????!!!! Wanaposema Mungu mkubwa mathalani wanamaanisha mwana ,baba, roho mtakatifu au mungu yupi???!!!!!

Hivi wakati wa Genocide 1994 waliuana watu wa dini zipi???!!!! Kulikuwa na traces za terorism???!!Au just violation of human rights na piece distortion???!!!!

Waleta kihoro sawa as you wish,mbele ya nani???!!!!Umesoma habari ya Guantanamo na waliomo in connection with the "BAPTISTS"???????

O_0oh! kumbe haujanielewa toka mwanzo, SITETEI DINI YOYOTE, infact kila siku huwa nasema UKRISTO+UISLAM=MAJANGA
Kama ulidhani uko kwenye ubishi wa kishabiki wa mkristo na muislam who is better you are wrong bro, mimi si mkristo wala si muislam, kwa hiyo tunapojadili ondoa mawazo ya kidini, kuwa na fikra huru!
 
Hii dini yetu hii ndio maana wanatuita magaidi haya maalim mengine bila shaka yameletwa na chadema/ccm ili yatuchafue sisi waislam safi, lakn kwa hakika watashidwa kwa uwezo wa Allah
Inshaallah! RIP mtoto
m'mungu anamsamehe alietokwa na akili pia haustahiki wewe kujiita muislam safi,muislam safi anayemjua ni yeye mwenyewe m'mungu,jiite tu muislam inatosha.
 
kwani unafikiri kwa nini wenye akiri za socrates hatuwapendi hawa watu wenye imani kali za aina hiyo?. nenda marekani wakihisi tu una imani kali wanakufuatilia kila mahali mpaka wakujue vizuri. watakujua kila kitu mpaka harufu ya ushuzi wako, volume ya ushuzi wako, unajamba mara ngapi kwa siku, unakula vyakula gani n.k. ogopa sana watu wenye imani kali za kidini.

Asante mkuu kwa kutumia lugha ya picha! Mimi pia huwa sina imani na mtu mwenye msimamo mkali wa dini(kijijini kwetu enzi hizo kulikuwa na iani kuwa washika dini sana huwa ni wachawi!).

Hii huwa ndiyo theory yangu: mtu yeyote awe mkatoliki, muislam, msabato nk nikimuona anapenda sana kutambulika kwa dini yake, kujionyesha ni mfuasi mkubwa, nk huwa naona kuna kitu kikubwa ndani yake anakifunika kwa kutumia dini.
 
Back
Top Bottom