Ticha amchinja mwanafunzi

Ticha amchinja mwanafunzi

Nilipita jana hapo lilipofanyika tukio alietueleza anasema huyo ustadhi ni msomi mzuri wa elimu zote mbili; ya dunia na ya akhera ila alipata kuugua ukichaa na kichaa kilitulia muda mrefu ila wanadhani kilianza tena ndio kupelekeaa hatua aliyoichukua
 
Kisa cha nabii Ibrahim...na Ismail!!!!!!!May be...
Wale wanaochinjana wana "vendetta" zao , sasa with this poor kid kaka ni maajabu ya kusononesha kabisa!!!!!!

Mkuu inasikitisha ujue..

Nadhani hapo juu ulitaka kurejelea kisa cha Ibrahim na Isaka, lakini kisa kile kilikuwa baina ya baba na mwana kama kipimo cha imani ya Ibrahim aliyonayo kwa Mungu wake...

Sasa huyu mwalimu naye alitaka kukopi na kupesti ama, kwa nini asingefanya kwa mwanaye au mwana wa nduguye???
 
Taarifa haijakamilika, hebu tuambie ilikuwaje mpaka huyo ustadhi akafanye, hebu tujuze zaidi

Huyu mtu ndo angeweza toa ufafanuz why kamgeuza mtot kuwa kuku? Ila watu washampa adhabu yake
 
Mwenyewe nimeshangaa hapo!
Hadi sasa narudia uzi nijue sababu ya mwalimu kuchinja sijaipata bado! At least maelezo yako yananiambia kama habari za ushirikina zinahusika!!!!
Na sio ugaidi! Ugaidi for what?

Ngoja tuwe wapole labda kuna mtu atajitokeza na kuelezea chanzo ni nini haswa...

Ila mkuu kama ni ushirikina watu huwa wanachinja wanyama, hii ya mtu ni mpya kwangu khaaa...
 
Najaribu kupaelewa hapa...

Najaribu kufananisha na vile wafanyavyo magaidi tuwaonao kwenye filamu za kimagharibi...

Najaribu kufananisha na vile tuonavyo video clip kutoka mashirika makubwa ya habari namna wanajeshi wa nchi za magharibi wakichinjwa...

Somebody please explain....
no need to explain hii kitu kaka case nyingi za kuchinjana ni kuw na mambo ya iman or mtu kupandwa na roho ya ajabu
Dats why alivo maliza kuchinja akawa anasepa cz akili ndo ikarudi
BUT WENZETU HAWA MBONA KWAO KAWAIDA TU
 
Hawa ustadh wana visa vingi vibaya. waislaam wanapaswa kuwa na utaratibu mzuri kuwaandaa na kuajiri waalimu wa madrasa. Baadhi ya hao ustadh ni watu waovu kabisa.
 
Kwani hii habari ni mpya au ndio ile ya toka juzi?
Ile ya juzi ilieleza sababu za huyo mwalimu kumuua mtoto huyo!

hiyo ya juzi ilitoa sababu gani? Coz blogs nyingi hukopiana habari hebu toa manen kidgo
 
maneno yako makali na mazuri lakini kwa huyu mtoto wa kikwere haelewi unasema nini

Hakuna ukichaa hapo yani kichaa amchinje mtu then akimbie? Huyo ni timamu kabisaa
 
Huku wanalawitiwa,kule wanauwawa, watoto wetu wapi watakuwa salama. Pole kwa wazazi wa mtoto aliyeenda kupata ilimu akatolewa maisha yako.
 
Ngoja tuwe wapole labda kuna mtu atajitokeza na kuelezea chanzo ni nini haswa...

Ila mkuu kama ni ushirikina watu huwa wanachinya wanyama, hii ya mtu ni mpya kwangu khaaa...

CYBERTEQ tuambie basi, chanzo ni nini?
 
Last edited by a moderator:
Hivi imeshajulikana kwa nini alifanya uamuzi huo?
kuna mtu wa karibu sana na muhusika anasema ustaadh alikuwa anasoma qur'an ndani ,hao watoto walikuwa nje wanapiga kelele yeye alipotoka alimshika mmoja na kuingia nae ndani na ndipo alipochukua kisu na kumchinja,na wala hakukimbia alijifungia ndani na watu walivunja dirisha kisha mlango ndipo walipomuua na wala hakuwa mwanafunzi wake,wanaomjua wanasema ustaadh wakati mweingine akili zake huwa zinamruka,yaani kuna kipindi anakuwa chizi fresh.
Source:mtu wa karibu na muhusika.
 
kuna mengi yakujiuliza hapa!sijui nani atatuweka sawa kwenye kisanga hiki!ni vitu vya ajabu kabisa,poleni wafiwa wa pande zote mbili.
 
Mkuu inasikitisha ujue..

Nadhani hapo juu ulitaka kurejelea kisa cha Ibrahim na Isaka, lakini kisa kile kilikuwa baina ya baba na mwana kama kipimo cha imani ya Ibrahim aliyonayo kwa Mungu wake...

Sasa huyu mwalimu naye alitaka kukopi na kupesti ama, kwa nini asingefanya kwa mwanaye au mwana wa nduguye???

Thanx for update kaka!!!!
Ndio maana nasema "some with partial understanding" ndio wanasumbua sana mihimili ya kidini!!!!

Cc CYBERTEQ
 
Last edited by a moderator:
kuna mtu wa karibu sana na muhusika anasema ustaadh alikuwa anasoma qur'an ndani ,hao watoto walikuwa nje wanapiga kelele yeye alipotoka alimshika mmoja na kuingia nae ndani na ndipo alipochukua kisu na kumchinja,na wala hakukimbia alijifungia ndani na watu walivunja dirisha kisha mlango ndipo walipomuua na wala hakuwa mwanafunzi wake,wanaomjua wanasema ustaadh wakati mweingine akili zake huwa zinamruka,yaani kuna kipindi anakuwa chizi fresh.
Source:mtu wa karibu na muhusika.

Cc CYBERTEQ
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom