Tibaijuka: MAYFAIR PLAZA nayo nitaivunja!

Mama mi nakushauri usibomoe just kutaka sifa ila kwa kuangalia economic impact badae.
Kubomoa jengo lenye thamani ya sh. bilion moja kisa lipo kwenye eneo lisilo sahihi ambapo huo usahihi unaweza kurekebishwa kwa garama ndogo kuliko bilion moja ni kosa kubwa kiuchumi.
Mi naamanisha kwamba ulipokua ukisikia report za kukua kwa uchumi wa nchi za miaka iliyopita zikisema uchumi wa tz unakua kwa asilimia 6% au 7% ni pamoja na ujenzi wa hayo majengo SO BE CARE FULL MAMA YANGU. MAKE SURE YOU ARE DOING COST AND BENEFIT ANALYSIS FIRST.
Kubomoa majengo kiholela ni uuwaji wa uchumi maana ni sawa na kudroo hela bank na kuzichoma moto. Pia lazima tuwe wakweli maana hawa watu wamekopa kwenye mabank pia. Na je wakati hayo majengo yanajengwa mamlaka za mipango miji zilikua wapi mpaka yakamalizika bila kutoa ushauri??

Mkondo wa maji umezuiwa na maji yanazagaa during rain season, ni hatari tupo, there is more hasara ya hili jengo kwa wananchi due to
maji kukosa pa kwenda na imeingia sehemu ya barabara, unajua Jengo lenyewe? Is where makham hotel ilipo pia, solution make GRound zero mama, safi
 
sasaiv kikwete atamtoa kwenye hiyo wizara subirini muone.atampeleka pale kilaza kama chiligati
 
So far so good! lakini tusiwe na matumaini yaliyovuka mpaka. Changamoto alizonazo ni nyingi na kuna wakati focus yake itahamia kwenye kero nyingine kama vile masuala ya uchelewashaji wa hati na process ya upimaji wa viwanja. La msingi ni kwamba tayari ameonyesha kufahamu na kutambua kero za Watanzania na angalau kuleta discipline katika ugawaji na uendelezaji wa viwanja. Isipokuwa nashangazwa na ukimya wa waziri mwenye dhamana ya ulinzi na JKT. Anatakiwa kuja na mkakati kama ule uliopo Rwanda ambapo wanajeshi wamehamia vijijini kusaidia ujenzi wa nyumba bora za bei nafuu kwa wananchi. Kwa jeshi letu ambalo muda mwingi liko idle kutokana na amani tuanyoifaidi, njia ya kuwafanya wawe productive na kupata value for money paid as salaries ni kushiriki miradi ya jamii.
 
Wadanganyika bwana! Aliewadanganya atavunja nani, atabomoa dar nzima? Huyu anataka attention ya media na kujijengea njia ya urais 2015 hakuna kingine. Keep ma words ccm ni ya kupiga chini yote
 
Akianza kwanza kuvunja ofc zote za CCM na za PINDA (za serikali za mitaa) zilizojengwa kweny viwanja vya wazi ndo nitamuona kidume otherwise naona ni misifa na nguvu za soda tuu..
 
Bado sasa na Asha Rose Mingiro naye sijui aya fanya nini UN huko kujivutia umaarufu maan 2015 kutakua kasheshe Maghufuli ,Tibaijuka na wengine kasheshe tupu.
 
miscellaneous 039.jpg Tanzania tumefika mahali corruption ni nje nje.
Mahali hapa Mayfair wanaume wa Jiji/Halmashauri Kinondoni wameuza njia ya mto.
Mto tunaouona hapo ndi mwisho wake.
Awali mto huu ulikuwa unaishia baharini kwa kupitia sehemu ya Mayfair na Flats za Fidahussen, sasa hivinjia hiyo imeuzwa na matokeo yake tunayaona kila mvua ikinyesha.
Kimto hiki kinaonekana kidogo lakini kinakusanya maji yote ya barabarani Morocco rd na Mwananyamala hospital roads.
 
Niliposikia mama Tibaijuka anahaidi kushughulikia ujengaji wa maeneo ya wazi na yale ambayo hayakupaswa kujengwa, my first thought was how she would deal with myfair and that high rise building nearby ocean road. Jamani tuwe na aibu...tunajisikiaje kuanza kubomoa investment kama zile after some years? Siku zaja mambo yatakuwa tofauti na leo. Tutamlilia nani?
 
Niliposikia mama Tibaijuka anahaidi kushughulikia ujengaji wa maeneo ya wazi na yale ambayo hayakupaswa kujengwa, my first thought was how she would deal with myfair and that high rise building nearby ocean road. Jamani tuwe na aibu...tunajisikiaje kuanza kubomoa investment kama zile after some years? Siku zaja mambo yatakuwa tofauti na leo. Tutamlilia nani?
Kweli mkuu, mimi nalia na suala la Mayfair ambalo nasikia ni mchezo mchafu wa Diwani Londa, na Halmashauri Yake na Jiji.
 
hvi umevunja nyumba ngapi za walalahoi kisa hazikufuata taratibu za ujenzi au zipo barabarani?.,unashndwaje kuvunja nyumba zilizopo mbele ya b mikocheni jirani na kwa warioba pia majengo yaliyopo kuanzia tmj hadi shopers plaza ili yapishe mkondo wa maji yanayoenda baharini? Au kwa kua ni za mafisadi wenzako kweli zingekua za maskini ungeziacha hadi leo?..
 
hvi umevunja nyumba ngapi za walalahoi kisa hazikufuata taratibu za ujenzi au zipo barabarani?.,unashndwaje kuvunja nyumba zilizopo mbele ya b mikocheni jirani na kwa warioba pia majengo yaliyopo kuanzia tmj hadi shopers plaza ili yapishe mkondo wa maji yanayoenda baharini? Au kwa kua ni za mafisadi wenzako kweli zingekua za maskini ungeziacha hadi leo?..
Hotel ya pale mwenge ni yake,anajifanya alichukua mkopo kujengea kumbe kuzuga tu
 
Kwa kweli hilo neno la msingi sana. Maana pale kuna mama mmoja kavunjiwa kajumba chake kwa uonevu ili watengeneze mtaro wakati nyumba zilizoziba mtaro ni za highland village ila kwakuwa nyumba hizo ni za viongozi akiwemo mtoto wa baba mwenye kaya ambapo ameinunua 800mln.pamoja na kumuonea huyo mama hakuna kilichofanikiwa kwani maji hufuata mkondo wake hivyo yamekosa njia ndiyo maana yamejaa hapo mayfair tmj. Ama kweli kokola hukamata vidagaa tu ila papa hanasi.
 
Twambie sheria kwanza inasemaje kuhusu majengo hayo siyo unakuja bila kujiridhisha kwanza.
 
Kwa kweli hilo neno la msingi sana. Maana pale kuna mama mmoja kavunjiwa kajumba chake kwa uonevu ili watengeneze mtaro wakati nyumba zilizoziba mtaro ni za highland village ila kwakuwa nyumba hizo ni za viongozi akiwemo mtoto wa baba mwenye kaya ambapo ameinunua 800mln.pamoja na kumuonea huyo mama hakuna kilichofanikiwa kwani maji hufuata mkondo wake hivyo yamekosa njia ndiyo maana yamejaa hapo mayfair tmj. Ama kweli kokola hukamata vidagaa tu ila papa hanasi.
Ramani yake inasemaje kwenye eneo hilo yawezekana ziko chini ya halmashauri wala siyo wizara ya ujenzi hebu cheki hilo kwanza.
 
Back
Top Bottom