Tibaijuka: MAYFAIR PLAZA nayo nitaivunja!

Jee na wale maofisa waliogawa viwanja hivyo atawafanya nini? atawapandisha vyeo au?
 
Aende na Travetine Hotel!

Asibakishe na lile kanisa lililo karibu yake pale Mikumi-Watoto wameonewa sana pale, maana lile ni eneo la wazi mpaka hivi juzijuzi tuu-mbaya sana aisee, Plz mama tiba livunje hili kanisa ili watoto warejee ktk furaha yao kama ilivyokuwa.
 
Let's not count our chicks before they are hatched.... Seeing is believing..... let's wait and see......
 
Mimi siyo mtu Tarime ingawa nimewahi kulala mara kadhaa Goldlsnd iliyo Mtaa wa Nyamwaga.

Mimi naijua Tanzania, Nimeizuru kwa kutaka kuijua nchi yangu,

Ili mafisadi nijue nini wanafanya katika Nchi yangu.

Ha ha ha ha! uskatae kwako bana!
 
Nina Imani na huyu mama, ukubwa wa mwili haukuongezei ufanisi katika kazi yako, cha muhimu ni kumpatia kinga tu sababu lazima atakuwa ameshaanza kujijengea mafisadi
 
Baada ya huko nenda kabomoe TANESCO Ubungo Morogoro Road,

Kisha hamishia Hasira zako GoldLand Hotel Mandela Raod

zilijengwa ndani ya hifadhi ya barabara, ziko ndani ya hifadhi ya Barabara


Hiyo taarifa mpelekee Pombe aifanyie kazi!!!
 
chondechonde huyu mama I hope she is getting sound legal counsel tusije wakatudowan wenye majengo yao
 
Hayo ndio maneno ya waziri wa ardhi jana jioni.

Habari toka ndani kabisa wizarani ni kwamba mama keshapewa file la ujenzi pale na watu waliofanya environmental impact assessment kumbe walikuwa pesa hivyo bado kuna mambo ya verification on who did what lakini either way mama keshasema kuwa ujenzi not only wa pale Mayfair Plaza si halali bali anasema kuwa hata Mheshimiwa Rais alishasema kuwa ujenzi ule ni at the expense of walalahoi ambao wanaishi Msasani pale jirani na shoppers plaza ambako wakati wa masika mkondo wote wa maji umeelekezwa kwao na wajenzi wa Mayfair Plaza.

Hoja kubwa ya mama ni kuwa tayari rais alishatoa agizo kuwa jengo lile livunjwe hivyo atakacho kifanya ni kutekeleza amri tuu ya bosi wake

Na si hivyo tuuu Mama Tibaijuka amesema mto wake ni huo huo kama alioanza nao na akina Taher Mucadam hivo hao wenye Mayfair plaza kama wana mawakili waweke stand by kabisa kwani matinga tinga yake yako tayari.

ninachojiuliza je atavunja na zile nyumba / apartments mpya nyuma ya Tanesco jirani na hapo hapo Mayafair plaza ambazo inasemakana ni za Mkulu mmoja huko sirikalini? kwa sababu zile nazo wanasema zinachangia kadhia kubwa wakati wa masika kama Mafair Plaza kwa walalahoi waishio msasani.


Hapa hakuna kitu nguvu ya soda

Mama huyu anataka Media attention

NARUDIA TENA H-A-W-E-ZI H-A-W-EZI
 
Wakati anafanya hayo amwombe jk ulinzi na invisible escort,mafisadi wananguvu kubwa nikama wauza unga hawana huruma!
 
Hayo ndio maneno ya waziri wa ardhi jana jioni.




Habari toka ndani kabisa wizarani ni kwamba mama keshapewa file la ujenzi pale na watu waliofanya environmental impact assessment kumbe walikuwa pesa hivyo bado kuna mambo ya verification on who did what lakini either way mama keshasema kuwa ujenzi not only wa pale Mayfair Plaza si halali bali anasema kuwa hata Mheshimiwa Rais alishasema kuwa ujenzi ule ni at the expense of walalahoi ambao wanaishi Msasani pale jirani na shoppers plaza ambako wakati wa masika mkondo wote wa maji umeelekezwa kwao na wajenzi wa Mayfair Plaza.

Hoja kubwa ya mama ni kuwa tayari rais alishatoa agizo kuwa jengo lile livunjwe hivyo atakacho kifanya ni kutekeleza amri tuu ya bosi wake

Na si hivyo tuuu Mama Tibaijuka amesema mto wake ni huo huo kama alioanza nao na akina Taher Mucadam hivo hao wenye Mayfair plaza kama wana mawakili waweke stand by kabisa kwani matinga tinga yake yako tayari.

ninachojiuliza je atavunja na zile nyumba / apartments mpya nyuma ya Tanesco jirani na hapo hapo Mayafair plaza ambazo inasemakana ni za Mkulu mmoja huko sirikalini? kwa sababu zile nazo wanasema zinachangia kadhia kubwa wakati wa masika kama Mafair Plaza kwa walalahoi waishio msasani.

mimi hapa nakuwa kama tomaso wa yesu nangojea kwa hamu avunje duh kazi kweli kweli
 
Hapa hakuna kitu nguvu ya soda

Mama huyu anataka Media attention

NARUDIA TENA H-A-W-E-ZI H-A-W-EZI

What makes you think huyu mama hawezi? Na je niuulize kwani nani mmiliki wa Mayfair? Kama alinunua kiwanja cha utapeli mie naona sawa sawa tu kivunjwe kwani hakutafuta eneo la haki akajenga. Binafsi huyu mama amegusa kitu nilikuwa nakitamani muda mrefu Dar (open space) hatuna hata sehemu ya kwenda kupumzisha akili na mijikazi ya ofisini kumebakia oysterbay ambayo mafisadi pia wameichukua wanatuchaji parking fees isiyo na kichwa wala miguu. Mie namuunga mkono aendelee na spidi hii na kuikamilisha. Akiweka rekodi safi mwaka 2015 kutakuwa na kazi maana mie sio mwana CCM but akigombea guarantee ana kura yangu labda alikoroge kati kati hapa.
 
Hili nalo neno.

Tumerekodi maneno yako na tutafuatilia kwa ukaribu. Ila ukweli ni kuwa ukitaka kubomoa majengo yote yaliyojengwa kinyume na taratibu utaigeuza Dar es salaam kuwa kama mji ulioshambuliwa na mabomu wakati wa vita. Kama Mogadishu vile. Kwa maana kuna majengo lukuki yaliyojengwa pasipotakiwa.
Mambo taratibu. Hata kama Dar itakuwa kama iliyopigwa mabomu, bora iwe hivyo. Wasiwasi ni kuwa huyu Mama atafikia wapi kabla hawaja "mTidomhandomize". Binafsi ninampa FIVE. VUNJA MAMA VUNJA, VUNJA USIOGOPE.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom