Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aende na Travetine Hotel!
Mimi siyo mtu Tarime ingawa nimewahi kulala mara kadhaa Goldlsnd iliyo Mtaa wa Nyamwaga.
Mimi naijua Tanzania, Nimeizuru kwa kutaka kuijua nchi yangu,
Ili mafisadi nijue nini wanafanya katika Nchi yangu.
Ajira za watu jamani waoneeni huruma jamani!!!Akiivunja Mayfair Plaza ntampa big up huyu mama
Baada ya huko nenda kabomoe TANESCO Ubungo Morogoro Road,
Kisha hamishia Hasira zako GoldLand Hotel Mandela Raod
zilijengwa ndani ya hifadhi ya barabara, ziko ndani ya hifadhi ya Barabara
Hapo ktk Red LandMark HoteL siyo GoldLand Tafadhari
Hayo ndio maneno ya waziri wa ardhi jana jioni.
Habari toka ndani kabisa wizarani ni kwamba mama keshapewa file la ujenzi pale na watu waliofanya environmental impact assessment kumbe walikuwa pesa hivyo bado kuna mambo ya verification on who did what lakini either way mama keshasema kuwa ujenzi not only wa pale Mayfair Plaza si halali bali anasema kuwa hata Mheshimiwa Rais alishasema kuwa ujenzi ule ni at the expense of walalahoi ambao wanaishi Msasani pale jirani na shoppers plaza ambako wakati wa masika mkondo wote wa maji umeelekezwa kwao na wajenzi wa Mayfair Plaza.
Hoja kubwa ya mama ni kuwa tayari rais alishatoa agizo kuwa jengo lile livunjwe hivyo atakacho kifanya ni kutekeleza amri tuu ya bosi wake
Na si hivyo tuuu Mama Tibaijuka amesema mto wake ni huo huo kama alioanza nao na akina Taher Mucadam hivo hao wenye Mayfair plaza kama wana mawakili waweke stand by kabisa kwani matinga tinga yake yako tayari.
ninachojiuliza je atavunja na zile nyumba / apartments mpya nyuma ya Tanesco jirani na hapo hapo Mayafair plaza ambazo inasemakana ni za Mkulu mmoja huko sirikalini? kwa sababu zile nazo wanasema zinachangia kadhia kubwa wakati wa masika kama Mafair Plaza kwa walalahoi waishio msasani.
Wakati anafanya hayo amwombe jk ulinzi na invisible escort,mafisadi wananguvu kubwa nikama wauza unga hawana huruma!
Hivi waziri aliyepita mheshimiwa Chiligati alikuwa haoni haya maeneo tata?
Hayo ndio maneno ya waziri wa ardhi jana jioni.
Habari toka ndani kabisa wizarani ni kwamba mama keshapewa file la ujenzi pale na watu waliofanya environmental impact assessment kumbe walikuwa pesa hivyo bado kuna mambo ya verification on who did what lakini either way mama keshasema kuwa ujenzi not only wa pale Mayfair Plaza si halali bali anasema kuwa hata Mheshimiwa Rais alishasema kuwa ujenzi ule ni at the expense of walalahoi ambao wanaishi Msasani pale jirani na shoppers plaza ambako wakati wa masika mkondo wote wa maji umeelekezwa kwao na wajenzi wa Mayfair Plaza.
Hoja kubwa ya mama ni kuwa tayari rais alishatoa agizo kuwa jengo lile livunjwe hivyo atakacho kifanya ni kutekeleza amri tuu ya bosi wake
Na si hivyo tuuu Mama Tibaijuka amesema mto wake ni huo huo kama alioanza nao na akina Taher Mucadam hivo hao wenye Mayfair plaza kama wana mawakili waweke stand by kabisa kwani matinga tinga yake yako tayari.
ninachojiuliza je atavunja na zile nyumba / apartments mpya nyuma ya Tanesco jirani na hapo hapo Mayafair plaza ambazo inasemakana ni za Mkulu mmoja huko sirikalini? kwa sababu zile nazo wanasema zinachangia kadhia kubwa wakati wa masika kama Mafair Plaza kwa walalahoi waishio msasani.
Hapa hakuna kitu nguvu ya soda
Mama huyu anataka Media attention
NARUDIA TENA H-A-W-E-ZI H-A-W-EZI
Mambo taratibu. Hata kama Dar itakuwa kama iliyopigwa mabomu, bora iwe hivyo. Wasiwasi ni kuwa huyu Mama atafikia wapi kabla hawaja "mTidomhandomize". Binafsi ninampa FIVE. VUNJA MAMA VUNJA, VUNJA USIOGOPE.Hili nalo neno.
Tumerekodi maneno yako na tutafuatilia kwa ukaribu. Ila ukweli ni kuwa ukitaka kubomoa majengo yote yaliyojengwa kinyume na taratibu utaigeuza Dar es salaam kuwa kama mji ulioshambuliwa na mabomu wakati wa vita. Kama Mogadishu vile. Kwa maana kuna majengo lukuki yaliyojengwa pasipotakiwa.