Tibaijuka akataa kupokea shilingi 200 millioni

Tibaijuka akataa kupokea shilingi 200 millioni

She is among of those professors................. Wa kikwetu. Hadi una doubt uelimikaji wao, kwani angechukua na kutangaza pale pale kuwa aikabidhi kwa kamati ya maafa kagera angepungukiwa nini? I think ingekuwa na heshima zaidi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
By Raymond Kaminyoge, Mwananchi

Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.

Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.

Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.

Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.
Mbona ya braza ruge alichukua tena akiwa ni waziri? movie tamu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
By Raymond Kaminyoge, Mwananchi

Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.

Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.

Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.

Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.
Maigizo ya kimataifa
 
Chikamoooo chama chetu mpenzi Wewe ndiwe bonge la Tapeli Kwa watanzania.
 
Nakubaliana nawe hii ni pesa yake halali, hakuna maadili ya kukataa pesa halali....AMEKURUPUKA!

She is among of those professors................. Wa kikwetu. Hadi una doubt uelimikaji wao, kwani angechukua na kutangaza pale pale kuwa aikabidhi kwa kamati ya maafa kagera angepungukiwa nini? I think ingekuwa na heshima zaidi.
 
Ama kweli
Inaonyesha ana nyingi sana hivo hiyo aliyozawadiwa ni ndogo sana kwake
Angepokea tu awape vijana wa jimboni kwake kama mtaji
Wangemshukuru sana
 
Reasoning sijui ipo chini au ndo lack of emotional intellegence. Sijajua sana tatizo ni lipi hapo
 
Most of them ni prof vilazaz

Ova
Kwanini watu tuliowaamini sana hasa hawa maprofesa wanatuangusha kiasi hiki?
Wengine wanachofanya kwanza ni kupokea kisha unabaki na kikombe au tuzo lakini pale pale mbele ya hadhira unatoa cash money uliyopewa na kutangaza utampa nani kama ni wa mafuriko sawa nk nk
 
Kupatwa Kwa Maprof. Uchwara Nae anaendelea kujaza lista ya zecomedy Eti nae Prof. Daaah bola ningezaliwa Siria.
 
By Raymond Kaminyoge, Mwananchi

Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.

Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.

Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.

Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.
KWELI SHETANI AKIZEEKA HUGEUKA MALAIKA. SIAMINI NINACHOKISOMA KWA LE PROFESER KUPISHANA NA MAKARATASI PENDWA, SIAMINI.
 
Hapo kwenye nyekundu nahisi kuna mchezo mchafu unataka kuchezwa ina maana mtumishi wa umma ni kweli haruhusiwi kupokea zawadi ya ushindi wake uliotukuta nje au ndani kisa ni mtendaji serikalini?????
 
Khe khe kheeeeeee maadili hayo hakuyajua alipoamua kupokea bilioni 1.6 na kupiga kimya hadi alipogundua limebuma ndiyo akaamua kujitaja kwamba naye kapokea bulungutu.
Mkuu ile aliyopokea ilikuwa ya mboga. Ya ugali ndio ameikataa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mnafikir tume ya maadili haikumbuk vzur enhee
 
Angechukua halafu akabidhi serikalini kama sheria inavyomtaka, roho mbaya tu.
 
ZILE FEDHA ZA MBOGA AU MCHICHA MBONA ALIPOKEA, AMERUDISHA AU BADO NI COMEDY TU KAMA KAWA????????????????????
Mkuu aliona kuchukua za mboga ni ruksa. Za ugali ndio ameona sio sawa kuzichukua
 
Sijawahi kuwa na imani watu wa chama hicho huenda hizo pesa atazichukua kimya kimya kama zile Escrow.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Magufuli anatisha. Ni hatareeee. Hongera mama kwa uadilifu.
 
Back
Top Bottom