Tibaijuka akataa kupokea shilingi 200 millioni

Tibaijuka akataa kupokea shilingi 200 millioni

Anatoka Ccm Huo Utamuduni Haupo Mbona Aliweza Kukwapua Pesa Ya Mboga Pale STANBIC Halaafu Saa Hizi Aseme Hivyo......
Haa Check Ras Kule Kagera Kapiga Pesa Pamoja Na Piti Lote

Ahaaaaaah JF kiboko yaani nacheka hadi machozi yananodondoka!
 
Kama 10ml ilikuwa ya mboga, bila shaka hii kaiona ya kununulia mchele haitoshi.
 
By Raymond Kaminyoge, Mwananchi

Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.

Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.

Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.

Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.
Alikuwa mzima au kalewa? Sisi tunahangaika kupata Nobel Prize, yeye anasema maadili yanamkwaza!
 
Utaratibu wa kupokea zawadi kama hiyo upo kwa mtumishi wa umma na ndiyo alioukiuka kipindi akiwa waziri hadi akatumbuliwa kwenye issue ya escrow ,ni jambo la kushangaza kama anajidai hafahamu huo utaratibu na ni jambo la kushangaza zaidi kama alishindwa kupokea hizo hela hata kama hazihitaji basi zingesaidia wahanga wa tetemeko kwenye mkoa wake.Uzalendo wake kwa jimbo,mkoa na nchi yake hapo vimeingia dosari kwakweli.
 
By Raymond Kaminyoge, Mwananchi

Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.

Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.

Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.

Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.
Magufuli moto
 
Hahahaha! Mbona zile nyingine hakurudisha? AJUE iko siku atashikishwa adabu kwa kupokea ile fedha.
 
It doesn't make sense. Pesa ya tuzo na maadili wapi na wapi!!? Ina maana Mtanzania akishindwa tuzo la Nobel ambayo pesa yake ni kama 2 million itabidi asichukue!? Au Nobel prize na hii kuna tofauti gani!?
 
Duh
By Raymond Kaminyoge, Mwananchi

Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.

Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.

Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.

Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.
Duh! Mama anaonesha mfano!
 
Hivi kakataa kweli au story tu za kupoteza mda???
 
Aisee mimi ningezichukua kwani si zinajulikana ziliko toka
 
Back
Top Bottom