Tiba za asili: Manufaa ya asali na mdalasini

Habari kaka, naona Habbat Sawda na Mdalasini vyote kama vinaenda sawa na Asali, kwako kipi ni the best unachorecommend? Kwa upande wangu napenda sana mchanganyiko kama ni Unga tu nichanganye na Asali nilambe au kula basi, ikishakuwa kuchemsha sijui kupasha moto napataga shida. Nina tabia ya Kula kijiko cha asali kila nikiamka na nikitaka kulala, nimejikuta tu napendelea kufanya ivyo bila kujua nnachokitibu haswa! Now nataka add btn Mdalasini na Habbat Sawda Natanguliza Shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia vyote hivyo sio mbaya chukuwa unga wa mdalasini kijiko 1 kidogo changanya na unda wa Habbat Sawda kijiko 1 kidogo tia katika Asali kijiko 1 kikubwa koroga vizuri kisha urambe asubuhi mcha na usiku kabla ya kula kitu.

ONYO KALI: Usije kuramba unga wa Mdalasini pasipo na kuchanganya na Asali utakuja kufa. Kwani Unga wa Mdalasini ukija kuramba unga mtupu utakwenda kuingia ndani ya Mapafu yako na kukuziba Pumzi na haitofika zaidi ya dakika 30 utafariki dunia shauri yako usijaribu kuramba Unga wa Mdalasini pasipo na kutia ndani ya Asali au kwenye Maji ya Moto.
 
Ooh! Shukrani Kaka, na hii elimu ya Mdalasini hope umewafumbua macho na wengine. Uendelee Barikiwa kwa Msaada wako humu ndani kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ikopoa sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaman nauliza Dawa ya uvimbe kwenye kiwiko
Matatizo yake
Maumivu makali wakati wa usiku ,, na baridi
 
Mkuu tunakusubiri sana huku
 
...mmmm, ila hili la Mayai SABA kila siku kwa Siku 30 kwa ajili ya Mambo yetu yalee...inataka Moyo!
Hii maana yake ni Maya 210 kwa Mwezi!!
Kuna Usalama hapo kula mayai 210 kwa Siku 30?
Nahisi hata hizo Nguvu unazotafuta ndio zitapotea zaidi!!
Ndio maana mara nyingi matibabu haya ni hizo dawa nyingine zinazotangazwa humu mitandaoni...ni vigumu sana kupata feedback kutoka aliyezitumia na kufanikiwa!!!
 
...Mkuu, lakini hii sio Dawa ya Matibabu. Hii ni solution ya tatizo lako la muda uliopo. Ina maana kila ukiwa na tatizo hilo Unajpaka!
Sio kwamba ukiisha ipaka mara moja ama mbili tu basi tatizo lako la chuma kutosimama vizuri limekwisha! No!
Hii ukijizoesha sana inaweza ikakufikisha mahali bila kuipaka mkulunge hausimami.
Vumbi halifai kwa kweli...!!
Kuna dawa inaitwa vumbi la kongo ni balaa hio. Kwa uchache lisaa kiunoni. Kuna jamaa anauza ni pm nikupe namba ukachukue anakaa tabata
 
Vumbi la Kongo ni mtu anachelewa kufika kileleni tu, haligusi uwezo wa mashine kusimama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami pia ningependa kufahamu tiba ya asili ya macho hasa kwa mtu anayesumbuliwa na myopia( Short sightedness)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…