Kumbe kuna madhara?
Ngoja waje watuelimishe.
Mimi hutumia kama dawa hiyo mixer, natwanga punje kadhaa za vitunguu swaumu natia asali naichanganya naiacha masaa mawili na kuendelea Kisha naiweka kinywani navuta mate nameza, alooo kama Nina mafua ama kifua kinaishaaaaa ila inaumaaaa na ninaisikia inavyosambaa mwili mzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.