Tiba za asili: Manufaa ya asali na mdalasini

asante....
 
Dawa ya Kansa zote:
Majani ya Hinna, chemsha vizuri mpaka ile rangi isambae, iache ipoe na kua ya vugu vugu,
Kunywa kila asubuhi kabla ya kula chochote na usiku kabla ya kulala. Glass 1 au 2. Haina shida.

Kwa uwezo wa Mungu utapona.

NB:Hata wa HIV aweza itumia.
 
Je uso wako una Chunusi na madoa madoa?
Usihuzunike,

Chukua unga wa dengu,
Chukua unga wa manjano,
Chukua unga wa mdalasini,
Chukua na chumvi kidogo,

Changanya mchanganyiko wako wote vizuri, kisha weka pembeni,
Chukua kijiko cha chai chota huo mchanganyiko wako weka kwenye kifaa maalum, changanya na 'rose water' au maji ya kawaida tu si mbaya,

Pakaa usoni mpk shingoni (ukipenda) acha kwa dkk 20, nawa kwa maji ya vugu vugu.

Fanya hivyo asubuhi au jioni, kulingana na muda wako.

NB: Wanaume mnaweza mkafanya pia, haina madhara, haichubui ila inaondoa mafuta na madoa usoni.
 
Bahati mbaya sana wazungu walishatuweza kila kilicho cha asili baadhi yetu tunadhani ni ushirikina. Kiukweli kuna mimea mingi ni dawa ila tuliowengi hatuamini hadi wazungu watuhakikishie kwanza


Kwa kweli mambo ya kizungu imetugharimu sana!
 
Baadhi ya tambiko kweli unaweza kuzichukulia kuwa ni ushirikina hasa kwa wale tunaoamini katika hizi dini za kigeni. But ndiyo historia yetu. Kwa hiyo mimea sio ushirikina...
Kweli kabisa mkuu tunaamini sana mambo ya kuambiwa na ngozi nyeupe. Je fangasi si ugonjwa? Kama ni ugonjwa tiba yake ni nini?
 
Bahati mbaya sana wazungu walishatuweza kila kilicho cha asili baadhi yetu tunadhani ni ushirikina. Kiukweli kuna mimea mingi ni dawa ila tuliowengi hatuamini hadi wazungu watuhakikishie kwanza
BANGI, ni mmea unaotiba nyingi tu na ni mboga ila kwa kuwa walituaminisha kuwa ni haram sasa wao wameanza kuutumia kama tiba.
 
Asante!!
 
Nasubiri #6
 
Mchanganyiko wa tangawizi + habat sawda+ asali unasaidia nini katika mwili
Cc mzizimkavu, Mshana jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…