Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,357
Vipi kuhusu maji ya bahari
Acha kuingia "chumvini* mzee utapata kansa ya kinywa au kooIzak bro nliekeze dawa ulotumia kutibu fangas ya ulimi inanisumbua sana
Vipi kuhusu maji ya bahari
Kwenye masoko inapatikana bila shida.. Kilo moja shilingi 2000
Maneno hayo ni yapiYapo maneno ya kilatini ukiyaongezea hapo,hata use na balaa gani linasepa baada ya kuyasema juu ya chumvi hugeuka maji ya upako,(siri) ambayo huponyesha.
Au ukachukuwa chumvi ukachanganya na magadi Fulani upare yapo ukajumlisha na maneno ya lilatini,yaani pepo ondoka yake itakuwa sio ya kawaida,siri za kinabii.
Ni ya Siri za kikristo nimeyasahau kidogo yanaanzia na "hergo gomet hunc gueridans sesserant..."baadhi machache nimeyasahau labda google utayapata yote.Maneno hayo ni yapi
nina ufugaji wa kuku naona sijui nimepigwa zongo ama nini kuku hawatagi inavyotakiwa yaani, je chumvi itasaidiia???Waweza pia kuitumia chumvi kwenye kitu kisichouzika kama shamba, kiwanja, nyumba gari nknk
Shukraniiiii, zoezi litaanza harakaPicha chumvi eneo lote na wao wenyewe
Raha sanaHayafanani inategemea una shida gani lakini haya yanaweza kuwa msaada....
Chumvi ni tiba nitibie shida yangu
Chumvi ni ladha niletee ladha kwenye maisha yangu
Chumvi ni kinga nikinge na mambo mabaya na hatari zote
Chumvi ni kikoleza... Koleza mafanikio yangu, kutafuta kwangu, kupendwa kwangu nk
Chumvi ni kiungo nifanye nifanyike kiungo kila nitakapopita
Very interestAsante kwa elimu nzuri kwakweli imenisaidia mahali nilipokuwa nimepanga kila ikifika jioni kuna sauti za waduuu walikuwa wakiliia kwenye dirisha kila siku tena wanatoa sauti za kusumbua hata kulala huwezi unaamka na kuhangaika kulikagua dirisha lakini simwoni huyo mdudu nikakumbuka mada ya mshana kuhusu tiba ya chumvi nikaamka na kunyunyuzia nyumba nzima na kwenye lile dirisha kwa muda wa wiki moja toka siku hiyo hadi leo sijasikia tena sauti ya yule mdudu.
Asante mshana mada yako imenisaidia ubarikiwe
Tumia maji ya Moto. Kwa Dar unaweza chemsha vimaji kidogo Tu.Mkuu kama hiyo chumvi ya mawe haijayeyuka kwenye ukishamaliza kuoga unaifanyaje?
😂😂😂😂Linachomewa jitu 🤣🤣🙌🙌Haya yanaweza kuwa mafundisho mabaya View attachment 1186804
🤣🤣🤣🤣🤣Namuonea huruma sana