Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Kuna msemo mmoja hivi mtu ukiwa unaandamwa na mikosi na hata kuchezea vibuti sana kwa watoto wazuri!!! Wanasema kaoge maji ya bahari.. Je haya maji huwa yanasaidia sababu ya chumvi yake au huwaga ni story za vijiweni mkuu mshana?

Sent From Guest House
Yani ni maji ya chumvi nyingi yanatakasa! Hii ndio tafsiri yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna msemo mmoja hivi mtu ukiwa unaandamwa na mikosi na hata kuchezea vibuti sana kwa watoto wazuri!!! Wanasema kaoge maji ya bahari.. Je haya maji huwa yanasaidia sababu ya chumvi yake au huwaga ni story za vijiweni mkuu mshana?

Sent From Guest House
Yani ni maji ya chumvi nyingi yanatakasa! Hii ndio tafsiri yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
343f99d89dcef3c25323d02a6c3a5a4e.jpg
 
[emoji3] [emoji3] naona umeogopa...Mshana ameokoka hana hayo mambo
hahahaha. nivizuri kama ameokoka kweri. vinginevyo tutakuwa tunazikimbia threads zake sasa maana hamna namna
 
Back
Top Bottom