Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Pamoja na elimu yangu yote ya science na biashara naamini kuwa natural Force zipo... Ila naamini kwenye za kibiblia zaidi
May be you are right, may be not...

Maaana hata Maji ya baraka yana chumvi
Thanks for sharing
If you believe in Good then there is EVIL.
 
Na kuna watu wanajua kutengeneza mazingaombwe hatari
hayo pia yapo.kws mfano jana nikiwa eneo fulani jirani na home ghafla nikaona nimetmewa mate na mfano wa nyoka lakini sikumuona na eneo ni jeupe hakuna mti wala jani kweli hata mazingaombwe yapo! ila USWAHILI NI TABU TUPU MKUU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom