watu kibao
JF-Expert Member
- Mar 25, 2025
- 466
- 1,645
Siku ya juzi na janausiku nilisumbuliwa na maumivu makali ya mdudu ndani ya kidole cha pete.
Huyu mdudu anakusubiri umalize mishe zako, vile umetulia au umelala yeye ndio anaanza kazi yake, ni tafrani.
Nimehangaika hospitalini, daktari kaniandikia dawa ila hakuna nafuu
Siku ya leo nikawa napiga story na mdau nikagusia shida niliyonayao akaniambia mbona dawa imetuzunguka.
Kuna miti mingi huwa naiona ina vinyanya kama vya njano, huwa vinaitwa ndura, kumbe ni dawa.
Nikaikata ndura na kuingiza kidole ila maumivu yakazidi hata mara 5 zaidi nahisi kidole kinadunda kama mapigo ya moyo, nikaambiwa nijikaze mdudu anaunguzwa na utomvu wa ndura amepandwa na hasira, hali itaisha baada ya masaa machache, kwa maumivu niliyoyapata sitakuja kushangaa mtu mzima akilia kama mtoto
Ni kweli ndani ya masaa manne maumivu yamepungua sana na mdudu simhisi tena akiwa ndani ya kidole
Update:
Siku inayofuata usaha umejikusanya nimeukamua
Huyu mdudu anakusubiri umalize mishe zako, vile umetulia au umelala yeye ndio anaanza kazi yake, ni tafrani.
Nimehangaika hospitalini, daktari kaniandikia dawa ila hakuna nafuu
Siku ya leo nikawa napiga story na mdau nikagusia shida niliyonayao akaniambia mbona dawa imetuzunguka.
Kuna miti mingi huwa naiona ina vinyanya kama vya njano, huwa vinaitwa ndura, kumbe ni dawa.
Nikaikata ndura na kuingiza kidole ila maumivu yakazidi hata mara 5 zaidi nahisi kidole kinadunda kama mapigo ya moyo, nikaambiwa nijikaze mdudu anaunguzwa na utomvu wa ndura amepandwa na hasira, hali itaisha baada ya masaa machache, kwa maumivu niliyoyapata sitakuja kushangaa mtu mzima akilia kama mtoto
Ni kweli ndani ya masaa manne maumivu yamepungua sana na mdudu simhisi tena akiwa ndani ya kidole
Update:
Siku inayofuata usaha umejikusanya nimeukamua