Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
Namfahamu Tomas Nyimbo tangu akiwa na chama chake cha PONA, nafahamu tabia yake ya umwinyi na kupenda kunyenyekewa, nafahamu hata alivyosababisha ugomvi mkubwa pale shule ya sekondari Wanike akijaribu kuwatetea na kulzimisha kuwabakiza walimu wabakaji wa wanafunzi ambao walifutwa kazi na utumishi, nafahamu alivyokuwa anaendesha siasa za fitina dhidi ya Mangula akiwa CCM na jinsi alivyoadhibiwa kwa utovu wa nidhamu akiwa CCM hukohuko! Nyimbo hafai kabisa na ndio maana ameogopa kurudi CCM aliko tokea.Kama mambo ndiyo haya, kwa mtu aliyekuja CDM kutoka CCM makmruzuku hadi cheo cha Mlezi wa Chama kwa mikoa kadhaa, Leo amejitoa mnaona kama alikuja kutafuta ubunge, hafai kuwa kiongozi hata kidogo, ni mlafi na kadhalika. Kauli hizi zinasadifu 100% yale aliyosema Nyimbo mwenyewe kuwa CDM hakuna siasa bali kunyenyekewa na ndiyo ameamua kuondoka.
Siasa za namna hii ni hatari kwa ukuaji wa demkrasia nchini maana kuna watu wataamua kuendelea kubaki CDM kisa wakiondoka wataitwa hawafai, matapeli, walafi nk. Tulisikia mengi kuhusu SHIBUDA, MILLYA JAMES alipokuwa CCM aliitwa Fisadi leo anaitwa KAMANDA! Naogopa kuona kundi kubwa la vijana wanenda CHADEMA huku wanaona kabisa wakishaingia huko kutoka hata mazingira yatakaporuhusu watakuwa hawawezi kisa wataitwa majina mabaya. Kama vijana wa Tanzania tuna nia njema na maisha yetu na ustawi wa taifa letu, basi kama CCM imetushinda ni afadhali kukaa bila chama cha siasa maana CDM ni janga. Na kila siku njia kuelekea machafuko wao wanaita mabadiliko inatengenezwa na ufadhili mkubwa uko Marekani na Ujerumani, kumbuka hawa wanatengeneza Silaha, hakuna kwa kuzijaribisha maana hakuna Vita baridi tena.
CDM iogopwe kama ugonjwa hatari hasa linapokuja suala la kujenga chuki miongoni mwa watanzania hasa wasioko CDM!
Namfahamu Tomas Nyimbo tangu akiwa na chama chake cha PONA, nafahamu tabia yake ya umwinyi na kupenda kunyenyekewa, nafahamu hata alivyosababisha ugomvi mkubwa pale shule ya sekondari Wanike akijaribu kuwatetea na kulzimisha kuwabakiza walimu wabakaji wa wanafunzi ambao walifutwa kazi na utumishi, nafahamu alivyokuwa anaendesha siasa za fitina dhidi ya Mangula akiwa CCM na jinsi alivyoadhibiwa kwa utovu wa nidhamu akiwa CCM hukohuko! Nyimbo hafai kabisa na ndio maana ameogopa kurudi CCM aliko tokea.
Wewe una mtetea kwa sababu ya uzushi wako tu dhidi ya CHADEMA. Kama ni ufadhiri kutoka Marekani na Ujerumani, mbona huiulizi serikali yako imayotegemea misaada kwa asilimia 50 kutoka hukohuko Marekani na Ujerumani? Rais Jakaya Kikwete amekwenda mara ngapi Marekani kutembeza bakuli?iweje leo iwe dhambi CHADEMA kupewa ufadhiri na Marekani na Ujerumani? Nakushauri uache siasa za maji taka na uzushi wako dhidi ya CHADEMA.
I doubt it!
Mkuu una kaugonjwa kaliko wapata wana CDM wengi, una subjective reasoning syndrome.Unajuwa principle ama unaropoka tu.Aliyebanwa ni nani?Asiyekuwa na mfano ama mwenye kutoa reference ya mchangiaji kipuuzi?Mifano ipo mingi,nipe mmoja tu.
Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dk. Wilbroad Slaa wamekuwa wakijinufaisha binafsi Hilo nalo neno. Maneno hayo ya Bwana Nyimbo.
sijawahi kuona wala kuskia cha maana alichofanya........aende tuu atupunguzie majoto
Kwanza mimi sina chama,pili hao unaowaita mafisadi wa Moshi(madiwani),wamefanya ufisadi gani?Yani ndo mfano uliokuja nao huu?Na umesema unayo mifano mingi,nikakwambia taja mmoja,adn this is all you got?Sasa unafahamu matatizo uliyonayo wewe?Mkuu una kaugonjwa kaliko wapata wana CDM wengi, una subjective reasoning syndrome.
Wale mafisadi wanaoitwa madiwani huko Moshi usiniambie huna habari nao.
Hadi leo hatujasikia tamko la chama chenu.
Ukitaka kufbia macho ufisadi wa CDM its at your own peril.
sijawahi kuona wala kuskia cha maana alichofanya........aende tuu atupunguzie majoto
... Wanajinufashaje? atusaidie kwa kutoa data, otherwise apumzike kwa amani.Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dk. Wilbroad Slaa wamekuwa wakijinufaisha binafsi Hilo nalo neno. Maneno hayo ya Bwana Nyimbo.