Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
- Thread starter
- #21
Yahaya,
Msijaribu kuwa neutral bali mnalazimika kuwa neutral no matter nyinyi ni wapenzi wa chama gani kwa muda mrefu mmekuwa mkijiharibia mbele ya macho ya watanzania kwa mfano wakati mko karibu na ILEMELA Mlishindwa kabisa kuonyesha hatua kwa hatua zoezi la uchaguzi lilivyokuwa linaendelea, licha ya kujigamba kila wakati kuwa mna waandishi wenu eneo hilo pamoja na Nyamagana, fun enough hata idadi ya kura na "MTU" aliyeshindwa mkashindwa kutangaza, kigugumizi cha nini? Kwa stahili ya habari zenu ni wazi mmekula yamini na STAR TV na niulize tu mtafia hapo?
Mwandishi mmoja mkongwe alipata kunieleza hili.........WANANCHI AMBAO NI WALAJI, WATAZAMAJI NA WASIKILIZAJI WANAJUA ZAIDI KULIKO MNAVYOJUA NYINYI WAANDISHI.....Huo ni ushauri wangu kwenu!
Mchango wangu:
Watu hawa walioteuliwa wana kitu kipya (mawazo mapya) yatakayotusadia kutatua matatizo ya msingi ya watanzania? Je watu wanaoweza kuwa na mawazo huru nje ya mfumo wa kimafia wa CCM?
Ni mimi Mtembezi!
Finally umetoa hoja mtembezi. Being critical siyo kila wakati ukosoe kila jambo.