Dkt. Gwajima D
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 543
- 3,575
Hivi ndivyo ilivyokuwa kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 8 Machi, 2024 Dodoma, Chamwino ambako pia TUMEZINDUA SERA MPYA ya Taifa ya Jinsia na Maendeleo ya Wanawake ya Mwaka 2023 mbadala wa ile ya mwaka 2000.
Sera hii ya Mwaka 2023 imezingatia maeneo mapya kadhaa (tutaendelea kuelimisha) na kubwa ni imejumuisha masuala ya maendeleo ya wanaume siyo wanawake tu kwani, imetambua kuwa, maendeleo na ustawi imara na endelevu ni ule unaogusa Jinsia zote kike na kiume.🤝
Ahsante Sana Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe Rosemary Senyamule kwa ushirikiano wako.
Pongezi ziende kwa Rais wa JMT Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa Wizara mpya na Sera mpya.
Ahsanteni Wadau wote na wananchi wote kwa ushirikiano wenu kwenye kutoa maoni kwa ajili ya kuandaa sera ya 2023, ahsante kwa jinsi ambavyo mmekuwa mkitoa ushirikiano wa maoni, mawazo na kutenda pamoja na Wizara yenu ya Jamii
Tuendelee kushirikiana tunapoelekea kuboresha sheria, mipango na mikakati ya kisekta ngazi zote, Ili iakisi sera hii mpya.
Shukrani
Sera hii ya Mwaka 2023 imezingatia maeneo mapya kadhaa (tutaendelea kuelimisha) na kubwa ni imejumuisha masuala ya maendeleo ya wanaume siyo wanawake tu kwani, imetambua kuwa, maendeleo na ustawi imara na endelevu ni ule unaogusa Jinsia zote kike na kiume.🤝
Ahsante Sana Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe Rosemary Senyamule kwa ushirikiano wako.
Pongezi ziende kwa Rais wa JMT Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa Wizara mpya na Sera mpya.
Ahsanteni Wadau wote na wananchi wote kwa ushirikiano wenu kwenye kutoa maoni kwa ajili ya kuandaa sera ya 2023, ahsante kwa jinsi ambavyo mmekuwa mkitoa ushirikiano wa maoni, mawazo na kutenda pamoja na Wizara yenu ya Jamii
Tuendelee kushirikiana tunapoelekea kuboresha sheria, mipango na mikakati ya kisekta ngazi zote, Ili iakisi sera hii mpya.
Shukrani