Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Now picture this:
Jumatatu asubuhi kwenye WEST WING mheshimiwa kawaita LUHANJO na mediocres wenzie akina SALVA et al wampe briefings then anamuuliza hivi ile website ya Ikulu imeishia wapi?
LUHANJO: website? website gani?
JK: Ya Ikulu
LUHANJO: ohh hiyo mzee tayari iko online muda mrefu mbona?
JK: Kweli? inaitwaje?
LUHANJO: jina limenitoka lakini anayejua undani wa hayo ni SALVA
JK: haya Salva website yetu imeishia wapi? Haya mambo ya kila kukicha wale vijana Jamii Forums kuulizia policies zetu nadhani its about time tukawa open na wapiga kura waliotuweka hapa badala ya kupafanya handaki la kujichimbia
SALVA: Mheshimiwa website ipo
JK: Nionyeshe..
SALVA: Hii hapa:
http://www.ikulumawasiliano.blogspot.com/
JK: Salva you cant be serious! Hivi unanifanya mjinga sijui tofauti ya BLOG na WEBSITE?
SALVA: Hapana bos lakini website tumeona bora ianze na hiii ile yenyewe bado inashughulikiwa na tenda zilishatangazwa na fungu lilishatengwa
JK: na product ndio hii?
SALVA: Ndio tumeanzia hapo lakini FREDDY MARO anajua zaidi
JK: Tokeni wote nyie!!
Naam this is what our friends pale Magogoni have been up..wanamwongopea JK kuwa website iko tayari kisha wanamwonyesha huu UTUMBO!!!!
Where is Mugongo Mugongo when you need him?
Jumatatu asubuhi kwenye WEST WING mheshimiwa kawaita LUHANJO na mediocres wenzie akina SALVA et al wampe briefings then anamuuliza hivi ile website ya Ikulu imeishia wapi?
LUHANJO: website? website gani?
JK: Ya Ikulu
LUHANJO: ohh hiyo mzee tayari iko online muda mrefu mbona?
JK: Kweli? inaitwaje?
LUHANJO: jina limenitoka lakini anayejua undani wa hayo ni SALVA
JK: haya Salva website yetu imeishia wapi? Haya mambo ya kila kukicha wale vijana Jamii Forums kuulizia policies zetu nadhani its about time tukawa open na wapiga kura waliotuweka hapa badala ya kupafanya handaki la kujichimbia
SALVA: Mheshimiwa website ipo
JK: Nionyeshe..
SALVA: Hii hapa:
http://www.ikulumawasiliano.blogspot.com/
JK: Salva you cant be serious! Hivi unanifanya mjinga sijui tofauti ya BLOG na WEBSITE?
SALVA: Hapana bos lakini website tumeona bora ianze na hiii ile yenyewe bado inashughulikiwa na tenda zilishatangazwa na fungu lilishatengwa
JK: na product ndio hii?
SALVA: Ndio tumeanzia hapo lakini FREDDY MARO anajua zaidi
JK: Tokeni wote nyie!!
Naam this is what our friends pale Magogoni have been up..wanamwongopea JK kuwa website iko tayari kisha wanamwonyesha huu UTUMBO!!!!
Where is Mugongo Mugongo when you need him?