TEAM VIBAJAJI
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 1,858
- 2,302
Me nadhani Kuna umuhimu wa kupitia sharia zetu.. wangeruhusu basi zitembee usiku kucha unatoka zako ubungo saa 1 usiku unaingiaa mwanza asubuhi tu.
Alafu mkikutana na magogo njiani mrudi kulia humu?