Ulimbukeni wetu tunapoteza nguvu kazi barabarani hii ni hatari kea nchi ya viwanda speed limit zilizo mikoani sehemu nyingine hamna watu. Sehemu nyingine shule na jumamosi na jumapili wanafunzi hawasomi unatembeza gari 1km na speed 50 nikupoteza nguvu kazi.
Kuna haja ya ku review jambo hili.
Hizi speed limiti zingewekwa dar kwenye movement gari sisingetembea
Kuna haja ya ku review jambo hili.
Hizi speed limiti zingewekwa dar kwenye movement gari sisingetembea