rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 17,300
- 24,207
tatizo la ajali sio mwendo kasi peke yake gari nyingi ni mbovu kuanzia matairi hadi engine, pia kuna malori yamebadirishwa kuwa mabsi kiukweli safari ya mwanza dar inakera
Ajali zimepungua kutangazwa kwenye mediaBola uchelewe kufika ajali zimepungua sana
Hii sheria ipite hata kesho kabisaMe nadhani Kuna umuhimu wa kupitia sharia zetu.. wangeruhusu basi zitembee usiku kucha unatoka zako ubungo saa 1 usiku unaingiaa mwanza asubuhi tu.
UMEPIGA NYUNDO KWENYE MSUMARITusiwe wepesi kulaumu bila kufanya utafiti japo kidogo, Ukisoma taarifa za vyanzo vya ajali kwa hapa tanzania asilimia zaidi ya 70 ni human errors ( mwendo kasi, uzembe wa kutozingatia sheria, ulevi na mengineyo) kwa mliosafiri karibuni mtakuwa mashahidi siku hizi hakuna tena zile ligi za kijinga Barabarani, wahenga walisema KAWIA UFIKE, Naunga mkono hatua yoyote itakayopunguza hata ajali moja tu kwa mwaka
Mawazo ya kimaskini sana haya...yaani tunaongozwa na mwanga kama kuku, giza likiingia shughuli zote zinakoma.Mkuu umefikiria usalama Wa Mali za abiria Usiku huo???
Tunaenda coz sheria zinafuatwa. Kama hutaki panda ndegeDodoma to Dar? 10 Hrs! Nimekumbuka miaka ya nyuma wakati miundombinu ikisemwa kuwa haikuwa na ubora na pia ilikuwa finyu lakini tulikuwa tunatumia masaa 5! Hivi tunaenda au tunarudi?
Duuuh kweli utawala wa Magufuli umekuja kutukazia sheria zilizokua zinavunjwa miaka nenda rudi
Safari za kutoka DSM/Morogoro kwenda mikoa ya kanda ya ziwa kama Mwanza zimekua ndefu mno siku za hivi karibuni
Nimetumia takribani masaa 17 kutoka Moro kwenda Mwanza
Safari inachosha sana na ukifika kwenye Zebra hata kama hakuna mtu anavuka simama atleast Dk 1 au sekunde kadhaa then endelea kukanyaga mafuta
Madereva wa mabasi wamepewa masharti watembee speed 50 mpaka 80 ukizidisha fine au uwe umetoa rushwa.
Yani MTU anatoka DSM kwenda Washington kwa ndege kama Boeing au Airbus anawahi kufika lakini wewe wa kutoka Daslam au Moro kwenda Mwanza bado tu unahangaika na siti yako
Bora kupanda pangaboi walahi nasema.
Barabara zetu ni za kimasikini. Tungekuwa matajiri tusingeweka matuta tungeweka vivuko vya raia.Barabara zetu kubwa karibu zote ni zuri sana hivyo tatizo siyo barabara maana kile kipindi ambacho barabara zetu hazikuwa na lami ajali hazikuwa kama ilivyo sasa[ ingawa kwa sasa magari ni mengi zaidi] Kabla ya kuzungumza kiujumla kama wanasiasa fanyeni ka utafiti hata ka miezi 3 mitatu halafu tujadili na ingawa mimi siyo mganga wa ramli lakini hata utafiti huo ukifanyika itagundulika kuwa tatizo siyo barabara wala magari mabovu
ETI !!!!!!! TRUNK ROADS ZETU ZOTE NCHINI ZINAKIDHI VIWANGO VYA KIMATAIFA!!! ACHENI SIASA FANYENI UTAFITI HALAFU MUANDIKEBarabara zetu ni za kimasikini. Tungekuwa matajiri tusingeweka matuta tungeweka vivuko vya raia.
Matajiri hawana highway ya kupishana. Wana barabara mbili au zaidi za kuelekea upande mmoja na hakuna magari yanayokutana kama yanauelekeo tofauti.
Na kwa viwango hivyo hivyo ndio maana mwendo ni 80 kwa 50ETI !!!!!!! TRUNK ROADS ZETU ZOTE NCHINI ZINAKIDHI VIWANGO VYA KIMATAIFA!!! ACHENI SIASA FANYENI UTAFITI HALAFU MUANDIKE
Hebu soma vizuri nilichoandika hapo nyuma sababu kuu ya sheria hiyo na vile vile niliwaomba mfanye utafiti ili tujue hasa tatizo nini? na vile vile ninaweka utafiti wa wataalam kuhusu ajali hizo. Hivi bado hujapata picha???? Soma tafakari halafu tujadiliNa kwa viwango hivyo hivyo ndio maana mwendo ni 80 kwa 50