This is Rostam I know... The Story Behind the Man

This is Rostam I know... The Story Behind the Man

rostam, mkwere na lowasa ni wa3 ndani ya moja kama ilivyo utatu mtakatifu wa mungu baba,mwana na roho mtakatifu.

hii ni kufuru mkuu, ungekuwa RC sumbawanga saa hizi tungekuwa tunaongea habari nyingine kabisa. tujaribu kutenga siasa na masuala ya kiimani. ni ushauri tu
 
Wana Jf na watz wote kila siku tunaona kuongezeka kwa mateso na adha toka mtu huyu mmoja. Ana mkono wake kila ilipo shida ya mtanzania. Kwanza yeye hajulikani alikotokea na kuanza kuikamua nchi hii si Richmond, si Kagoda si usimamiaji wa siasa mbovu za kizandiki zilizojaa uonevu si utoroshaji wa mali za nchi. hivi kweli nchi yenye watu milion zaidi ya 40 hakuna lolote tunaloweza kufanya tuendelee kutekwa na ufisadi wa mtu 1? Wake up Tanzanians sisi si dhaifu kiasi hicho bwana....

My friend Rostam is one clean person!! wachafu wote wako jela, unayoyasikia ni visingizio vya watanzania waliokosa wafanye nini, silaha wanazo, mawe wanayo, akili na uwezo wanao.Kulia Rostam rostam ni ujinga na inakuwa kali zaidi wakati amechaguliwa na watanzania wenzetu huko jimboni mwake!! huoni kuna la kushangaza hapa?? huoni kuwa sisi wenyewe ndio wabaya sana kuliko ROSTAM!! rostam my foot!
 
Siku akishtakiwa kwa kosa lolote akanikuta mahakamani namfunga tu hata siku mwezi ...naomba atokee siku moja kwenye anga zangu

Potelea mbali atafunguliwa kwa rufani...nasubiria tu aje hata kama ni amekuja kumshataki mtu ntamfunga mwezi moja..
 
Hata awe vp, atakufa tu siku moja. Tutaöna kama ataondoka na hao mapesa. Kila kona amekamata, watz wanakodoa macho tu na kelele zisizokuwa na maana coz tunaongea na hakuna hatua tunazochukua, maana yake nini sara
 
Stop crying Tanzania...Rostam is just one man and your over 40 millions people,why crying instead of doing something???!!!..Rostam ni archtect tuu wabaya wenu ni hao wamatumbi wenzenu(kikwete,mkapa,mkono,lowassa etc,etc,hawa ngozi nyeupe ni ma-archtects tu
 

Mkuu hapa kigogo sijakuelewa SYSTEM KWENYE MASLAHI YA TAIFA tafadhali tufafanulie kigogo hapa!

Yes indeed, hizo ni kampuni ambazo hufunguliwa na SYSTEM kusaidia kuendesha bajeti ya mhimili wa nne ambao ni SYSTEM yenyewe, hizo fedha zinazopatikana kupitia hizo kampuni husaidia katika uwt na mfano mdogo ni hivi vyama vya siasa (vyote kasoro cha Mtikila) vilivyoanzishwa kupitia na kusimamiwa na SYSTEM. Jee, huoni ajabu kuwa vyama vya siasa, chukulia CUF au CHADEMA, ruzuku wanazopewa hazitoshi hata kulipa allowance za safari za viongozi wao, sasa fedha za ziada za kuendesha shughuli zote za hivi vyama, zinatoka wapi? Simpo, SYSTEM na biashara zake kupitia kwa kina RA na kampuni zake au za SYSTEM. Jee, hukumbuki kagoda ilivyosimamishwa kujadiliwa bungeni kwa maslahi ya Taifa? na hakuna yeyote aliye jaribu hata kusema kig... Baada ya hapo? Si Slaa si Hamad.

Kama hujaipata picha, uliza tu.
 
Wanaharakati na taifa kwa ujumla,baada ya taarifa mbalimbali kuwekwa wazi juu ya ushiriki wa RZ katika kuibia nchi Naomba tuunganishe nguvu tumshitaki ili pamoja na mambo mengine aweze kurudisha mali za nchi.

Tufanye haraka hasa baada ya upinzani kuongezeka nguvu na Rafiki yake JK kumfumbia macho wakati Kagoda ipo mlangoni kwake!

Jamani tuinywe supu hii ingali ya moto!

Hivi Beretta inauzwa shim ngapi...? au niazimeni tu nifanye mambo.
 
Wanaharakati na taifa kwa ujumla,baada ya taarifa mbalimbali kuwekwa wazi juu ya ushiriki wa RZ katika kuibia nchi Naomba tuunganishe nguvu tumshitaki ili pamoja na mambo mengine aweze kurudisha mali za nchi.

Tufanye haraka hasa baada ya upinzani kuongezeka nguvu na Rafiki yake JK kumfumbia macho wakati Kagoda ipo mlangoni kwake!

Jamani tuinywe supu hii ingali ya moto!

Upo sahihi ktk ushauri wako. La muhimu ni kujiamini na kuamua kulitenda lile unaloliamini. Ndani ya JF na ndani ya kambi ya wapambanaji kuna wanasheria wa kutosha. Kama resources zinakwamisha mfano charges za kufungua petitions, la msingi ni ku-join forces, resources na kuchangia ili support ikamilike ili kama ni lawyers waweze kuifanya kazi hii kwa nguvu na bila kuyumba au kuyumbishwa na mafisadi...Tunajua ari ipo juu, na la muhimu ni utekelezaji tu! Tuchangie walio na legal strength watakaonzisha mchakato huu muhimu saana!!
 

A GLIMPSE AT THE STORY BEHIND THE NAME & THE COURSE THAT ROSTAM AZIZ ACTUALLY CHAMPIONS FOR IRAN IN AFRICA


Many thanks FAREED for most insightful dig up of the story behind the most TREACHEROUS personality in African Continent called Alhaj Rostam Aziz. He eats with Kings like Kikwete, Gaddafi, Omar Al-Bahir, Somali War-Lords and the like and he cuts deals with the 'untouchable street ghosts' that make who he is today.

If one could, at least, seek to DRAW PARALLELS between what the historical underpinings of the name ROSTAM is the SACRED SECRETACTIVITIES that he does with weaker economies in Africa as an elaborate strategy for IRAN to HIT-DOWN the west influences here the you would perhaps come out with a most diverstating lessons if not spinal-chilling one about the Igunga member of parliament.


I entirely buy the story that the name Rostam (Persian: رستم, pronounced [ɾostæm, ɾʊstæm]) is the national hero of Greater Iran in Persian mythology. Rostam is the champion of champions.


That as a young child, he slays the maddened white elephant of the king with just one blow of the mace owned by his grand father. He then tames his legendary stallion, Rakhsh. Persian rumour has it that the name 'Rostam' is actually based on a historical character named "Retzehem", who was believed to be an Achaemenid general. Retzehem supposedly helped the Persians conquering the city of Sardis by climbing up the walls, throwing a rope and pulling up his fellow soldiers.


There are some interesting similarities between the legends of Rostam and those pertaining to the great Irish hero, Cúchulainn. They both defeat a ferocious beast as a very young man, slay their sons in combat,
are virtually invincible in combat, and are murdered by treachery while killing their murderer on their last breath.

It is written by the Royal Central Asian Society in the Journal of the Royal Central Asian Society that the struggle between
Rostam and the white demon represents a struggle between Persians and invaders from the north, from the Caspian provinces in Iran.

However, for those who may have take VERY KEEN INTEREST at understanding The Anti-West IRANIAN OPERATIVE'S secret activities in Africa, you will certainly agree that his omnipresence in a number of African country nations is best felt PERIODS CLOSER TO GENERAL ELECTIONS. He is the
MASTER OF INTERNATIONA ELECTION RIGGING cartel

Aziz is known to be cutting deals with either the incubent president and or opposition forces depending where his bread is best buttered. He kindly assist with more than necessary finances to help oil election campaign heels for a pay at a deffered but non-stop periods. He provides you with arsenals and cobal of inner-ring security that is of course keeping his interests safe too.

In the recent times sections of Tanzania government, Uganda, DRC, Somalian Pirates, and Comoro are in his active payroll. For most of these rings, very few of them know what Aziz does with that other next-door. He is practically yours ONLY while he is at yours as he best swings with where majority people's hearts lies, CCM take note of that remark. Elections are Rostam Aziz' major cost-centre to periodically service.

Again, the moment you hear of prevalance of
(including computer experts especially from India) to assist with the answers for Multyparty Democracy that never work your way. illegal drugs in your neighbourhoods or country the you should know best that Rostam Aziz is living with you next door. He recruits hundred of youths as his carriage bags, either in life or death, to take THE ON TRANSIT GOODS from one corner to the other. And if you want to know where his DRUG HEADQUARTERS are then first find an aswer as to why MOST AFRICAN COASTAL TOWN (East & West) are recurrently hot in drugs. This is one major source of his finances.

Aziz perfects the money laundering spree by way of starting and or causing to be started transportation companies with very powerful networks in the international arena. Of course, a number of petrol stations that you see decorating your towns, being built even right in the middle of residential areas are part of his large works. His cargo trucks and buses or those put under ownership of acquitances (full list in records) MUST JUST refuel, eat and drink at the very points strategically positioned. Moneys will always be either dropped and or picked from the said locations depending on 'specific operational needs and direction'. To be strict, Rostam Aziz runs a perfect mobile bank that never surfaces on official radars in any country of his presence.

Let's leave the story behind the stories on Rostam Aziz's love for PRECIOUS METALS and why Tanzania only become number four exporter of her ABSOLUTE ADVANTAGED TANZANITE only found here in Arusha, after India, South Africa and Kenya, to be told another day. How ROstam Aziz aggrassively and most malevolently warms up at the sight of URANIUM and the human costs attached.

MY TAKE:

For now, you may continue coming to terms with the kind of TIGER THAT ROMES YOUR NEIGHBOURHOOD EVERY OTHER DAY without anyone sensing the grave dangers embodied. Once an Azizi influence gets into your system the it gradually eats everything down to the very core. Now let us all openly discuss the kind of Rostam Aziz that we may have known in history so that he DOES NOT GO AWAY with our story the least.

Mind you, some ten 'Rostam Aziz Dignitaries' may well be finalising their slender paths to slither out of Tanzania anytime. Beware of likelihood of billions of dollars at their claws to dissappear and the economy to sink dip down 30 years of its present time level of effectiveness.

The man owns best lawyers, security elite, media fraternity, government executives, ... name it. Indeed, Rostam Aziz is a REAL FIGHTER just the same way Hon Jakaya had aptly and tersely put it while requesting the Igunga constituents to honour this hero with parliamentary seat, for once, all other scandulous claims notwithstanding. That means the imminent fall of Rostam Aziz is by extension a fall of MANY!!!!!!!
 
Rostam Aziz kulipwa bilioni 185.5/- za ki-Tanzania ni vijisenti tu kwa majukumu mazito alionayo kimataifa.
 
Igunga Constituency will very be free. As we all pray for then to come out safe from their current Iranian abductor.

Tanzania will even sooner regain her lost independence far away from a near-Rostam Aziz sydication vultures, looting and hijacking gangs in formal suites and offices.

Yes, the United States of Africa WILL BE FORMED and become functional but NOT on Colonel Gadaffi's and Colone Kikwete on Iranian cherished axis and pace but rather at a pace that Museveni very well articulated then.

Indeed political parties, security agencies and a number of parastatal bodies will for once start working for ordinary Tanzania interests.

But CCM may well die a DEATH of her own careless choosing in the hands of her ABDUCTOR from former owners, workers and farmers, Rostam Aziz.

Edward Lowassa for having committed himself to the delicate sharp edge of the sword with a deafening contempt on fellow Tanzanians trying to restrain him without success may forget buying a house to hide in London or anywhere else except to face the wrath of ordinary Tanzanians.

That's it!! And the weaponless fight is up in earnest!!!
 
Kwa kuwa " Uwezo Tunao" , tafadhali Uwezo Tunao hiyo thread itafisili iweze kusomeka kwenye lugha ya KISWAHILI,Tuweze kufaidi kinachoelezwa
 
Back
Top Bottom