The problem ya wabongo ni ku-treat things like a bit walking the plank! Hatujaona anayejitokeza wazi wazi na kusema Dowans ni ya X or Y! We have inherent unaccountability! Ndiyo maana utaambiwa back your allegations with names, facts, and figures.
Mna ushahidi wowote katika haya mnayomzulia RA? Au mna chuki binafsi kwa RA? Ni kwa ajili ya Rangi yake? Au Dini yake?
Ndg yngu kweli ni mtz wewe?ata uzalendo kdg?du!ata mtt alozaliwa leo ukimtajia RA ataanza kulia!Mna ushahidi wowote katika haya mnayomzulia RA? Au mna chuki binafsi kwa RA? Ni kwa ajili ya Rangi yake? Au Dini yake?
Wadau hii mimi inaniumiza kichwa sana,
Jaji Werema amesema kuwa "...lakini Jaji huyo alisema kwa mujibu wa rekodi, Dowans ilisajiliwa Costa Rica na kwamba inaonesha kuwa Rostama Aziz (Mbunge wa Igunga) alipewa nguvu ya kisheria tu...",
Na tukikumbuka EPA jamaa huyu ndie kuna MAKAMPUNI yeye ndie MWAKILISHI wao na ndiye alikuwa anakwenda kuchukua hizo hela Benki CRDB.
Je ni kwanini kilasiku huyuhuyu!!!
Kwanini lakini?
For your information, hizo kampuni zote ni za system (uwt) na RA ni mfanyakazi wa system (uwt) kitengo cha biashara, na hizo fedha zote ndio zinaiwezesha (uwt) kuwa na fedha za matanuzi zaidi ya bajeti ya wizara yeyote ile. Jee, ulishawahi kuiona bajeti ya uwt ikipitishwa bungeni?
Vijana mna nini? mnachokonowa mpaka mjuwe siri za nchi?
Wadau hii mimi inaniumiza kichwa sana,
Jaji Werema amesema kuwa "...lakini Jaji huyo alisema kwa mujibu wa rekodi, Dowans ilisajiliwa Costa Rica na kwamba inaonesha kuwa Rostama Aziz (Mbunge wa Igunga) alipewa nguvu ya kisheria tu...",
Na tukikumbuka EPA jamaa huyu ndie kuna MAKAMPUNI yeye ndie MWAKILISHI wao na ndiye alikuwa anakwenda kuchukua hizo hela Benki CRDB.
Je ni kwanini kilasiku huyuhuyu!!!
Kwanini lakini?
Maana imefika sasa hata jumjua mwenye dowans ili alipwe inakuwa shida wkt kuna vyombo strong vya upelelezi na ujasusi lkn vinashindwa kutuambia nani ni mmiliki au aliyeiandikisha dowans ila kwenye malipo yanasisitizwa hata na mwanasheria mkuu kwamba lazima walipwe. Jamaniiiii katibaaaaaaa mpya ni tiba.
Maana imefika sasa hata jumjua mwenye dowans ili alipwe inakuwa shida wkt kuna vyombo strong vya upelelezi na ujasusi lkn vinashindwa kutuambia nani ni mmiliki au aliyeiandikisha dowans ila kwenye malipo yanasisitizwa hata na mwanasheria mkuu kwamba lazima walipwe. Jamaniiiii katibaaaaaaa mpya ni tiba.
Sio kwamba CCM inaji-associate na Rostam kwa kupenda...NO...ni kwamba Rostam is a Mafian type of a guy kajua udhaifu wa viongozi ndani ya CCM na mahitaji yao so now Rostam is a master and the ruler of CCM na viongozi kama Kikwete,makamba,kingunge and the like ni instruments katika shighuri zake...umenielewa?kitendo cha serikali ya CCM kuji-associate kwa namna yoyote na huyu Rostam kinaonyesha ni jinsi gani chama hicho hakiwajali watanzania na siku moja historia itawahukumu. Ningefurahi kama mtanzania atajitokeza kuweka historia ya huyu jamaa(Rostam) na namna alivyotafuna raslimali za nchi hii chronologically na pia watanzania wazalendo waliojihusisha naye katika kufanikisha hayo yote ili hata kizazi cha nne historia iendelee kuwasuta!
Wadau hii mimi inaniumiza kichwa sana,
Jaji Werema amesema kuwa "...lakini Jaji huyo alisema kwa mujibu wa rekodi, Dowans ilisajiliwa Costa Rica na kwamba inaonesha kuwa Rostama Aziz (Mbunge wa Igunga) alipewa nguvu ya kisheria tu...",
Na tukikumbuka EPA jamaa huyu ndie kuna MAKAMPUNI yeye ndie MWAKILISHI wao na ndiye alikuwa anakwenda kuchukua hizo hela Benki CRDB.
Je ni kwanini kilasiku huyuhuyu!!!
Kwanini lakini?
For your information, hizo kampuni zote ni za system (uwt) na RA ni mfanyakazi wa system (uwt) kitengo cha biashara, na hizo fedha zote ndio zinaiwezesha (uwt) kuwa na fedha za matanuzi zaidi ya bajeti ya wizara yeyote ile. Jee, ulishawahi kuiona bajeti ya uwt ikipitishwa bungeni?
Vijana mna nini? mnachokonowa mpaka mjuwe siri za nchi?