babashishi
Member
- Feb 15, 2013
- 8
- 1
wengi wanapenda kujiunga na Jeshi ila hawajakaa chini kufikiri vizuri akili zao zinaongozwa na ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira,kazi ya jeshi sio lelemamakwamba kila mtu anaweza kuifanya inahitaji wito na upendo wa dhati kutoka moyoni.
kazi ya jeshi inahusisha kuuwa au kuuliwa hivyo kama unaogopa kuchinja hata kuku haitakufaa,
kazi ya jeshi inahusisha mazoezi magumu hivyo kama ni mvivu wa mazoezi angaikia kazi nyingine,
kazi ya jeshi inataka utii wa hali ya juu, kama huna utii jeshi litakuwa adhabu kwako,
kazi ya jeshi inataka uvumilivu na uzalendo wa hali ya juu.
kazi ya jeshi inahitaji nidhamu ya hali ya hali ya juu.
LASTLY "THERE IS NO FUTURE IN ARMY ANYTHING CAN HAPPEN AT ANY TIME" as u see our neighbourz are fighting every day so they need military help from us also we have a conflict with our little friend MALAWI
SASA HEBU JIPIME KABLA HATUJAANZA TINGANA TINGANA KWENYE INTERVIEW COZ KUNA WENGINE WANAPATA
NAFASI THEN WANAKIMBIA KAMBI MATOKEO YAKE TUNAACHA WANAJESHI WA UKWELI WANAPATA WAZUSHI.
kazi ya jeshi inahusisha kuuwa au kuuliwa hivyo kama unaogopa kuchinja hata kuku haitakufaa,
kazi ya jeshi inahusisha mazoezi magumu hivyo kama ni mvivu wa mazoezi angaikia kazi nyingine,
kazi ya jeshi inataka utii wa hali ya juu, kama huna utii jeshi litakuwa adhabu kwako,
kazi ya jeshi inataka uvumilivu na uzalendo wa hali ya juu.
kazi ya jeshi inahitaji nidhamu ya hali ya hali ya juu.
LASTLY "THERE IS NO FUTURE IN ARMY ANYTHING CAN HAPPEN AT ANY TIME" as u see our neighbourz are fighting every day so they need military help from us also we have a conflict with our little friend MALAWI
SASA HEBU JIPIME KABLA HATUJAANZA TINGANA TINGANA KWENYE INTERVIEW COZ KUNA WENGINE WANAPATA
NAFASI THEN WANAKIMBIA KAMBI MATOKEO YAKE TUNAACHA WANAJESHI WA UKWELI WANAPATA WAZUSHI.