ndio ni kamji kadogo tuMoshi sio pakubeza
ndio ni kamji kadogo tuMoshi sio pakubeza
Na nyie midanganyika si mmejazana Nairobi kama fleas...Manyang’au hulilia sana miji ya Tanzania kaskazini hasa Arusha. Utakuta ymejazanaaa pumbafu. Halafu mmeshazika yule aliedandia ndege kukumbia njaa Kenya. Btw hamuwezi feed your country mpaka mnakuja kuomba mahindi kwetu?! Jinga sana nyie.
Google rock city shopping mallMiaka thelathini na tano ya ujamaa ilifanya miji yenu na uchumi wenu kuwa dhaifu na hakuna kivutio bado.Hiyo miji yote hapo juu haina viwanda ama malls za hali ya juu.
Very wrong mawazo mgando hayoSasa sisi TZ akili zetu mbovu tunawaza kufanya CHATO kuwa Jiji si ni kwamba tunadhani ukishatoa K na I kwenye kijiji basi unaita Jiji
Kama mwenyeji wa Thika na mtalii hapa afrika mashariki hakuna mji unaeza toa Thika town tz isipokua dar.Sasa sisi TZ akili zetu mbovu tunawaza kufanya CHATO kuwa Jiji si ni kwamba tunadhani ukishatoa K na I kwenye kijiji basi unaita Jiji