mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,643
- 9,744
Hali ya kuwa raia wanaishi kwa vibanda vya mabati.Aha haa
Wanashangilia mali ya kina kenyatta na Dalamare.
Na wako tao.
Hali ya kuwa raia wanaishi kwa vibanda vya mabati.Aha haa
Wanashangilia mali ya kina kenyatta na Dalamare.
Ipo sawa na Iringa au Moshi
Wametutia aibu sana waafrika hawa nyang'au,hii habari wakati inatrend nilikua kwenye mgahawa mmoja mwafrika nikiwa mimi pekee,wakati news ikiendelea kwenye tv ikafika habari ya huyo fala wa kibera aliedandia tyre la ndege,pale mgahawani karibia watu wote wakaanza kuniangalia mimi wengine kwa kujiibia ibia,nilifedheheka sana!poor mungiki poor kunyalandhata kama ni kweli, so what? akili zenu ni pumbavu kabisa ndio maana mnadandia tairi la ndege kwenda Ulaya
Wametutia aibu sana waafrika hawa nyang'au,hii habari wakati inatrend nilikua kwenye mgahawa mmoja mwafrika nikiwa mimi pekee,wakati news ikiendelea kwenye tv ikafika habari ya huyo fala wa kibera aliedandia tyre la ndege,pale mgahawani karibia watu wote wakaanza kuniangalia mimi wengine kwa kujiibia ibia,nilifedheheka sana!poor mungiki poor kunyaland
Ipo sawa na Iringa au Moshi
Utadhani mikoa mingine ya Tz ushawahi kufika na unaijua huna tofauti na mtu sehemu alipo anaona ndio mwisho wa duniaHapo ni dar pekee inachapa Thika
please don't compare your stinky shitty shit with ThikaJamani can you compare this shit with Arusha ,Mwanza or even Dodoma.
Haiwezi kuishinda Chato
okayplease don't compare your stinky shitty shit with Thika
Mmmh Moshi bado.Moshi iipatie VoiKamji kazuri to b honest Moshi itatoshana nayo bila shaka,wakenya waliofika Moshi mseme ukweli wenu...Arusha imeidizi hii town yao kwa mbali
Moshi sio pakubezaMmmh Moshi bado.Moshi iipatie Voi
Hii ni industrial town yaani extension ya Nairobi. Kwa sasa nai Ni Kama imejaa na hawawezi kukuza mipaka maana imezungukwa na mbuga, the best option ni kuwa na metro tu ambazo zipo connected na Nai na mojawapo Ni hiyo Thika TownKamji kazuri to b honest Moshi itatoshana nayo bila shaka,wakenya waliofika Moshi mseme ukweli wenu...Arusha imeidizi hii town yao kwa mbali
Miaka thelathini na tano ya ujamaa ilifanya miji yenu na uchumi wenu kuwa dhaifu na hakuna kivutio bado.Hiyo miji yote hapo juu haina viwanda ama malls za hali ya juu.Jamani can you compare this shit with Arusha ,Mwanza or even Dodoma.
Manyang’au hulilia sana miji ya Tanzania kaskazini hasa Arusha. Utakuta ymejazanaaa pumbafu. Halafu mmeshazika yule aliedandia ndege kukumbia njaa Kenya. Btw hamuwezi feed your country mpaka mnakuja kuomba mahindi kwetu?! Jinga sana nyie.