Haramu will always give Haramu!Haramu ni haramu tu
Usiogope wala usipate stress.. let's wait and see what will transpireBaraza la wapi? Lifanye nini? Limfanyie nani?
Anazidi kuchochea moto tu...Kashatangaza kesho uapisho
NdioMbona kama TANGANYIKA TUNA BANANGWA NA KUBAGAZWA.
NIMESIKIA KAMA WANU AMIR HAFFIDH KAPEWA UNAIBU WAZIRII.
Uapisho feki wa baraza fekiKashatangaza kesho uapisho
Nyerere angekua na hayo maono familia yake ingekua IKULU mpaka Sasa..Ndio
Huyu yeye anafanya nepotism ya waziwaziNyerere angekua na hayo maono familia yake ingekua IKULU mpaka Sasa..
Kuna baba etu mmoja alikuaga afisa elimu mkoa Kuna ndugu zangu hakuwai kuwa pendelea kuwa pangia kazi mjini yule mzee 😂 alikua anatupa porinii ndugu zake kupangia vituo vya kazii
Napata walakini yule mzee ni mzalendo au alikua anaogopa walimwengu kusema anapendelea?!
Magu , benja , nyerere hawaku favor watoto wao madaraka ila kikwete, mwinyi, Samia wanafavor familia zao..Huyu yeye anafanya nepotism ya waziwazi
Ndio hivyoMagu , benja , nyerere hawaku favor watoto wao madaraka ila kikwete, mwinyi, Samia wanafavor familia zao..
Elimu ni suala la Muungano. Miundo mbinu na Ujenzi ndiyo sijui!!!KAMA
Sisi wa Madrasa ni ndugu, mahali popote uislam kwanzaMagu , benja , nyerere hawaku favor watoto wao madaraka ila kikwete, mwinyi, Samia wanafavor familia zao..
Sasa nyerere alikua na watoto wa kuwapa nafasi?.. Andrew!?Nyerere angekua na hayo maono familia yake ingekua IKULU mpaka Sasa..
Kuna baba etu mmoja alikuaga afisa elimu mkoa Kuna ndugu zangu hakuwai kuwa pendelea kuwa pangia kazi mjini yule mzee 😂 alikua anatupa porinii ndugu zake kupangia vituo vya kazii
Napata walakini yule mzee ni mzalendo au alikua anaogopa walimwengu kusema anapendelea?!