Theresa Shayo: Miss Tanzania Mwafrika wa kwanza 1967 katika historia ya Tanzania

Lucy Ngongoseke enzi hizo anashika hiyo nafasi alijulikana kwa jina la Tabasamu Ngongoseke
 
Central Secondary hiyo Dodoma
 
Are you talking about Kavishes'
 
mamisi wa zamani walikua wanene kidogo sio kama vimbaombao vya siku hizi
 
Mkuu upo makini sana kwa kila point iliyotolewa kwenye huu uzi bila shaka utakuwa mtaalam wa Literature.
 

Mama yake LEMUTUZ alikuwa anawaburuza kweli wenzie kwenye mashindano hayo! Ni mmoja wa washindi wa nafasi ya kwanza miaka hiyo, huko Mbeya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…