donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
- Thread starter
-
- #21
thats ryt mkuu lakini not so many people have heart like yours, wengi sana huwa wana embrace the past depending na huyo mtu alimteka moyo wake kiasi gani!mie ex ni ex........if I move forward I move forward completely......
No turning back eti tukumbushiane,,,tunakumbushiana vinini hasa...........
hahaha, sasa mkuu utajuaje kama hujachapiwa? haya mambo we acha tu kaka. Ni equation yenye variables nyingi sana!hahahahahahahaa,rich mavoko kasema ukweli mkuu.... kuchapiwa ni siri ya ndani bwana, na kama hujachapiwa jihesabu ww mwenye bahati ya mtende kuota jangwani
Yessir!Ndo unajua Leo Mkuu wanasema.. never burn a bridge
Morning mamy!!!!!!!
Zitafika . Umenisusaaa!!!!!
ok kaka nimekusoma!Ok,growth and development ndio maisha yetu!!!!!
thats ryt mkuu lakini not so many people have heart like yours, wengi sana huwa wana embrace the past depending na huyo mtu alimteka moyo wake kiasi gani!
daaah, umeua fatality kali sana na hiyo finishing sentence yako mkuu. Hili swala kweli tata!Kuchapiwa hio kitu haikwepeki!! Uwe bado upo upo au uwe ndani ya ndoa ya kimasikini au ya kitajiri swala la kuchapiwa lipo wazi Kama vazi la kahaba mawindoni!!
ni kweli, nilitaka tu kuonesha jinsi mambo yalivyo, it doesnt mean kwamba i'ma go on with her play mkuu!Asikushughulishe huyu,hata kama kawa mzuri kua na moyo wakusema staki au nimeshiba,nnahakika kua ww sio mgeni au mshamba wa penzi,kama ilishakua basi naiendele kua basi wewe songa mbele watu wanasonga mbele hawarudi nyuma,sasa asikurejeshe nyuma huyo...........
hahaha we jamaa umeongea ka ukweli flani ngoja ntakuja kukupa story!teh teh teh teh dem mzur kwako wenzako wanakula hata kwa vocha 2
nafikiri we are not sailing on the same boat, sijamaanisha mimi personally am talking about other people especially women. mimi mindset yangu naijua mwenyewe and i dont go around fire expect not to sweat. that was just a figure of speech mkuu, haimaniishi mimi niko kiivo!endelea ku embrace your heart..........
na we siku ukikuta mchuchu wako ana embrace her past uwe mpole tu
mie ex ni ex........if I move forward I move forward completely......
No turning back eti tukumbushiane,,,tunakumbushiana vinini hasa...........
nafikiri we are not sailing on the same boat, sijamaanisha mimi personally am talking about other people especially women. mimi mindset yangu naijua mwenyewe and i dont go around fire expect not to sweat. that was just a figure of speech mkuu, haimaniishi mimi niko kiivo!
Salaam wana MMU,
kuna kale kamsemo kwamba mpenzi wako wa sasa ni mpenzi wa zamani wa mtu mwingine, kana kaukweli fulani. An ex is like a dormant volcano kwamba haierupt lakini ipo one day inaweza kuja kuerupt tena. Point of reference;ni majuzi tu nimekutana na ex-mpenzi wangu ambaye tulidate like 2 years ago ila baada ya kuhama physical location ukawa ndio mwisho wetu. Hiyo majuzi katika pita pita zangu za kwenda kushangaa ulaya a.k.a mlimani city (ndugu zangu wa chit-chat wananipata swadakta) nikakutana na mpenzi wangu huyo wa zamani. Kiukweli kwa sasa ameng'ara sana na kunawairi na kupendeza mpaka mwenyewe nikakiri kimoyomoyo. Alikua na jamaa mmoja ambae judging from the looks, their positions and posture it doesnt need an elite person kujua huyo jamaa ndio mmiliki halali wa binti huyu na jamaa ndio aanahudumia kila kitu. Nilitaka kukausha nimpite kamasimjui ila binti akanikumbuka akaniita, alifurahi sana akanihug pale, akanitambulisha kama rafiki yake wa zamani kwa huyo mpenzi wake. Basi tukapiga story dakika mbili tatu nikamzuga nina haraka so she gave me her dials. Tumeanza kuchat, akaanza kukumbushia mambo ya zamani, mara anipigie late night calls, vi clip vya kijinga whatsapp n all those stuffs. Nilimbana kwenye angle flan katika kuchat kwetu mwisho akakiri she still got some sort of feelings for me and she wont mind vile tukihave a friendly match kujikumbushia back in days.
Hii kitu nimewaza nikaona kumbe sometimes tunaweza kua na wapenzi wetu wenyewe tunaona tumefika tunapeeendwa kumbe kuna watu ambao walikonga nyoyo zamani ambao always watakua wana special place kwenye nyoyo zao. Sasa kama mambo yenyewe ndio haya, si mtu unaweza ukaoa/kuolewa na mtu halafu kumbe kuna ex wake ambae alikua anamkuna kweli kweli ambaye akichombeza kidogo tu anapewa mzigo kama kawaida? Au ndio mambo anayosema Rich mavoko kwamba kuchapiwa ni siri ya ndani? (personally i hate this line in the song).
Anyways, wafaransa wenyewe wanasema :C'est la vie....
Jumapili njema wapendwa!
halafu wakristo wengi humu ndani leo tumedodge church eeeh? siamini kama mmesali misa za kwanza!
wala si mingi sana mkuu, kwanini wauliza?Samahani mkuu,
Una practical experience ya miaka mingapi??
Babu DC!!
Truth or Dare?How old are you?