The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Ukiwa mfuatiliaji wa mambo na kisha ukaufuatilia huu mjadala kwa muda mrefu na kwa kina utagundua kuwa;

1. Hoja kuhusu dunia kuwa tambarare bado ni dhaifu sana.

2. Hazijitoshelezi na zina maswali mengi zaidi yasiyo na majibu.
REALITY,

Hatuhitaji kwenda anga za juu ili kuthibitisha hivyo vitu viwili bali tutumie mifano ya kawaida tu.

Umekwisha wahi kuitazama meli inapoelekea mbali na mahali uliposimamia. Kwanini meli uonekana kama kuzama pale inapozidi kuelekea mbali zaidi na mahali ulipo?

Unafahamu kitu gani kuhusu 'Gravity'?

Unawezaje kuelezea jinsi 'Gravity' inavyofanya kazi katika hiyo dunia ya "flat"?
Hizi hoja ni entry level kwa mtafiti wa flat earth na ni hoja nyepesi zaidi kujibu KWA VITENDO tu. Nenda kando ya bahari, itazame meli mpaka pale inapopotea machoni mwako. Chukua kifaa choochote cha kuweza kusogeza umbali (zoom) mfano kamera yenye nguvu. Tazama tena uelekeo wa meli oale ilipopotea (kuzama kwenye duara) halafu ushangae utakapoiona ikichanja mbuga kama kawaida. Kwa mtindo huu unaweza kuona hata vitu vinavyopaswa kuzama zaidi ya mita mia chini ya bahari lakini vikawa vinaelea mbele yako. Hiyo inaitwa perspective, ni upeo wa macho tu, sio mbonyeo wa dunia.

Gravity ni imaginary, hata wewe huwezi kuielezea. Kuanguka kwa vitu kila viendapo juu ni kutokana na kuwa denser than air. Ndivyo ilivyo kuzama pia. Gravity ni mtazamo wa wanafizikia lakini haina uhalisia

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Ni logic rahisi tu,aliyeweka dome hawezi kushindwa kumtumpa malaika aliyemuumba kwa neno yani "malaika tokea"tena kwa miale ya moto.uumbaji wa supreme power na utendaji kazi waki ni complex na beyond our intelligence its rarely hard or impossible at all to comprehend.

Na naposema MUNGU namaanisha"chochote kile kianzilisha cha vyote ,kilituleta na kitatuondoa"kwahiyo ziwezi hata kwa asilimia moja kuestimate nguvu au chochote kuhusu nguvu hiyo maana nipo within boundaries zake.
Mkuu sababu Wewe unachanganya na mambo ya theology naomba unieleweshe kitu hapo! Ukisoma Biblia kitabu cha ufunuo kuna sehemu inasema kulikuwa na Vita huko Mbinguni Kati ya Mikaeli na Yule Joka na Malaika zake,mwisho yule Joka na Malaika zake walishindwa na kutupwa Duniani! Mkuu hapo huoni hiyo Dome ya kioo tayari ilishaga vunjika kitambo?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja sio antarctic ni Arctic ambayo ni north pole,kingine angalia report na feedback za "admiral byrd"
1.Hakuna aliekufa akarudi akiwa mtu tena, kama wanarudi ningekuwa namfahamu babu yangu upande wa baba(huyu alikufa sijazaliwa)
2. Mti tukiung'oa kuua,tukauchoma moto ukawa jivu, na tukachoma jivu kuna point tunafika hata jivu linaishia kuwa jivu au kuwa kitu kingine, sio mti tu na vitu vingine vingi lakini hauwezi tena kuurudisha kuwa mti,kadhalika binadamu pia akifa,akaoza,akawa fosils n.k hata akiwa katika form nyingine duniani au mbinguni huyo sio mtu tena ni something else. Najua wakristo hapa wanaweza kuleta case ya Yesu,hili sasa ni suala jingine nyeti katika mambo ya imani.Kama ndugu Reality anavyosema Antarctica kuna viumbe wana macho ya blue, hii sio fact ni belief

Sent using Jamii Forums mobile app
 
When you are close to the firmament utapata taswira kama hii,ni mfano.
End of the flat circle/flat disk
Sasa kila utakapokuwa ukisogea kupima unaona utambalale kwa hio mkunjo wa uduara wa dunia utauona lini..!!? Sasa huoni kama unajijibu mwenyewe kwamba our earth is flat.

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20200129_010344_423.JPG
731be781fcd6f7e00b5836802f4b60a0.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli ni jumuiya ya wanasayansi wakweli
Wala Reality katika maenono yake yote hakuna sehemu kasema "flat earthers" pia wanasema dunia ina move na wanabishana kuhusu hilo?Sasa atuleze katika hao wanaosema ina move na wengine hai move yuko upande upi?Na mbona hatu feel iki move?. Flat earthers ni jumuia ya wanasayansi wavivu.
IMG_20200129_230506_578.JPG
IMG_20200129_172447_521.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hata Majirani zetu wa Kenya mwaka juzi walisema wamerusha Satellite.Lakini hapa wanasema hakuna kitu kama hicho ni minara mirefu tu.Na bado wanao ingia kenya hawajaona huo mnara mrefu uliotundikiwa hiyo satellite!
No satellites on earth because they have no technology to make them hang due to electromagnetic force and they cant resist high temperature at the thermo sphere level according to your levels of atmosphere.
IMG_20200129_221333_853.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii topic nimeiona kwa muda sasa unaweza kuiona ni yakupoteza muda tu ila kuna mambo machache yakujiuliza hapa kwa pande zote mbili

Kwanza kwanini hawa wanasayansi wadanganye kuwa dunia ni mduara? Itakuwa na faida gani kwao? kweli na mambo yote tuliyojifunza shule/chuo yawe hayana maana? Muda wote iwe tumepoteza?
Waliodanganya sio wanasayansi,wanasayansi walitumiwa kufanikisha hilo jambo na kuliweka katika mfumo ambao ni shawishi na unaendana na hesabu.faida kwao ni kutransform ulimwengu kuwa hakuna supreme power au higher authority au complex intelligence substance than us,wakimaanisha tumetokea tu bila sababu yeyote ni just random,pili ikiwa big bang imetokea lazima kuwe na evolution kuwa sisi tumegenerate kutoka kwa apes,hapo pia wanakushawishi kuwa dunia ilivyo na hesabu timilifu hivi,ilitokea tu kwa bahati na wewe unakubali,sasa hiyo ndo inaitwa indoctrination unaamishwa kifikra kutoka point a kwenda b.kwakuwa ni jesuits mawakala wa ibilisi hawataki kuona dunia nzima inakubali uwepo wa muumbaji wanataka wote mjue mpo tu bila sababu ,at the end mnafall kwenye mikono ya LUCIFER jina la malaika muasi ,mpaka telescope kubwa ya anga inaitwa L.U.C.I.F.E.R kwahiyo jiongeze.

Kujali uhai na muda wa watu wao hawani maslahi nayo.

Vipi kuhusu maelfu na maelfu ya ramani ambazo explorers waliokuwa wakizunguka dunia kuzichora na ku document visiwa vidogo vidogo kuvijumuisha kwenye ramani ya dunia hata kabla ya kuwepo kwa satellite images toka karne ya 15 huko?
Safi hizo ramani zote ni sahihi na hapo mpango ulikuwa bado haujaanza kusukwa,fatilia hizi operation mbili dominic on fishbowl na high jump ,hapa waligundua kuna kuta ya kioo ,walivyorudi kwenye maandiko ya siri ya kale kuhusu uumbaji hicho kioo kipo,sasa wanafanyaje?,inabidi wabadilishe mitazamo ya ulimwengu wote kuwa huo sio uhalisia kwa kuanzisha sasa sarakasi rasmi 1958 kupitia taasisi ya upotoshaji ya kuhusu anga NASA.

Maelfu ya meli zikazama na kupotea bahari za mbali huko, watu wakapoteza maisha yao kwa ajili ya kudanganya kuwa dunia ni mduara?
ULIZA KWANZA KWANINI YEROSHIMA NA NAGASAKI ,KULE JAPAN WAFANYIWE VILE,WANAFATA AGENDA MAISHA YAKO HAYAWAHUSU.

Aya tukija kwenye motion ambayo dunia ni mduara basi kwanini hajawai kutokea mtu yoyote yule aliewahi kwenda Antarctica kupitia northern part ya dunia either Canada, Scandinavia au Russia? Kwanini route iwe ni moja kupitia southern part of earth yani Argentina, Chile, South Africa, New Zealand au Australia?
HUO NI UWONGO ANGALIA RAMANI YA KWELI YA DUNIA.ambayo flat earth map.

Jamani mtu asije hapa na point ya karafu na baridi kubwa maana tayari kuna ndege inatoka Argentina hadi Australia kupitia Antarctica
ANTARTIC NI CIRCULAR CONTINENT OF OUR WORLD





Sent using Jamii Forums mobile app
SOMA BETWEEN

IMG_20200129_102802_926.jpeg
IMG_20200129_102742_249.jpeg
IMG_20200129_232005_545.JPG
IMG_20200128_212540_883.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
REALITY,

Hatuhitaji kwenda anga za juu ili kuthibitisha hivyo vitu viwili bali tutumie mifano ya kawaida tu.

Umekwisha wahi kuitazama meli inapoelekea mbali na mahali uliposimamia. Kwanini meli uonekana kama kuzama pale inapozidi kuelekea mbali zaidi na mahali ulipo?
Hiyo sight view ya macho yako kwenye horizon.

Unafahamu kitu gani kuhusu 'Gravity'?
Kwa shule nilifaulu kwa kujibu ,is a force that pulls objects downwards benearth earth's surface kwakuwa ni mfumo,ila nilivyotoka hapo ni gravity ni imagination na speculation ya force according to actions acted on earths surface
Wakati jibu ni ether
Electomagnetic force attaching and attracting us to earth's surface.

Unawezaje kuelezea jinsi 'Gravity' inavyofanya kazi katika hiyo dunia ya "flat"?
Nshajibu hapo juu
IMG_20200128_212956_539.JPG
a8c02ea7c2d74eb683c2781500004119.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahiyo walijua dunia IPO kana Dome,,,,While nyumba zao ziliundw Kwa stratified soil (utope) Kama biscuits ,,,je? Dome ipo Kama biscuits ?
Dome like structure to represent our true nature na hata kama hawakuona ila kuna spiritual connection iliyowaongoza watengeneze shelter katika mfumo huo angalia nyumba zote dunia before era zilijengwaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
OK HUSU NYUMBA KUKAA KAMA PYRAMID NI KITU RAHISI,KUMBUKA JESUITS NI MAWAKALA WA SHETANI NA SHETANI NI ANAFANYA UNIVERSAL INDOCTRINATION.

BATI LIMEKAA KAMA TRIANGLE KUONESHA NCHA YA JUU NI MTAWALA HALAFU CHINI ULE MSTARI UNAOUNGA NCHA MBILI NI WATUMISHI AU WATUMWA ,KWAHIYO NI HIVI ZAMANI NYUMBA PAA ILIKUWA NI DOME SASA HIVI PAA NI PYRAMID ,HIVYO HIVYO WAMECHANGE KWA MUONEKANO WA DUNIA.IT MEANS UKIWEKA PAA HIVYO UPO CHINI YA MTAWALA WA DUNIA.View attachment 1339442View attachment 1339443View attachment 1339444View attachment 1339446View attachment 1339447View attachment 1339448View attachment 1339449View attachment 1339450View attachment 1339451View attachment 1339452View attachment 1339454View attachment 1339455

Sent using Jamii Forums mobile app
Najaribu kuwaza alternative structure ya nyumba ili zisihusishwe na hizi mambo...
 
Huwezi kuact au kuota kitu ambacho hakipo.
Hiyo picha ya liukuta na watu wanatoka wakiwa kama wamepanda farasi mbona inafanana kabisa na ya kwenye series ya game of thrones wakiwa wanatoka kwenye great wall? Haijatoholewa huko kweli? Nilikuwa naipenda sana hii series na kuifuatilia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom