The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

.
Wameulizwa swali kwanini meli ikiondoka bandarini kadri inavyokwenda umbali mrefu ndani ya bahari unaiona kama inazama, ukipanda juu ya mnara mrefu unaiona meli ile baadae inavyozidi kwenda mbali unaiona inazama tena. Kama dunia ingekuwa flat hichi kisingetokea. Wanashindwa kutoa majibu wanadema dema. Ovyo kabisa

Sent using Cash Money Wings
ba6350fc442b4d3d347ee327b8c6fa5e.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ndo umeelimika unaamini dunia ni flat?
Mkiitwa monkeys mnalalamika, 2020 tukae tunadiscuss kama dunia ni flat?
Monkeys kutona na evolution ni sawa utakaataje kuitwa monkey wakati unakubaliana na spherical earth from big bang theory,ambayo imezaa planetary na evolution.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
safuher,
Obviously dunia na sayari nyingine zitakuwa zinazunguka. Ishara zipo mfano, usiku na mchana. Hata majira mbali mbali ya mwaka theory ya dunia kuzunguka au kujizungusha ndiyo pekee inayoweza kuelezea matukio kama hayo.

Zaidi, kama sayari azizunguki jua, basi nadhani baadhi ya sayari ikiwemo dunia yetu hii tusingepata kuliona jua. Tungekuwa tumezibwa na sayari nyingine, na hasa kama sayari zingekuwa flat kama wanavyodhani baadhi ya wajumbe.
089c8dfe1e7346cd764ff57ad03acb29.jpeg
IMG_20200128_212404_370.JPG
IMG_20200129_090049_295.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba usindelee kusupport Ujinga wa mtoa mada na Wewe usije dharaulika! Hebu fikiria Jamaa anasema Dunia ina uzio wa Dome ya kioo kiasi kwamba roket haziwezi kupaa wima. Na bado amejaribu kuelezea operation Dominic roket ilivyo shindwa kupenya hiyo Dome ya kioo nakuanguka chini ikiwaka moto!

Swali la kujiuliza ni kwanini wote wanaosema Dunia ni flat duara Kama Sinia iliyofunikwa na Dome ya kioo wasiwathibitishie Watu kwa kuwasafirisha hata kama ni kwa Meli Magari na Helcopita wakaoneshwe uzio wa Dome ya kioo tokea chini inapo anzia kwenda juu?! Na huo ungekuwa utalii mzuri sana kwenda kucheki ukingo wa Dunia ukiwa ndani ya fence ya kioo kwa usalama bila wasi wasi.Hata kama ni nauli Watu watalipa!
Never gonna happen
IMG_20200129_011315_636.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
St.peters basillica
Okay asante kwa verses lakini nimesoma baadhi sijaona hata moja yenye direct prove kuhusu flatness ya earth. Alafu ujue kila mtu uelewa maneno ya Bible mara nyingi anavyotaka yeye. Ndiyo maana mabishano yanayohusu maneno ya bible mara nyingi huwa hayana mwamuzi sahihi na hivyo mimi binafsi pamoja na kuwa christian huwa najitahidi kuyakwepa kila yanapotokea.
images%20(40).jpeg
images%20(38).jpeg
images%20(29).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom