REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,960
- Thread starter
- #1,221
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameulizwa swali kwanini meli ikiondoka bandarini kadri inavyokwenda umbali mrefu ndani ya bahari unaiona kama inazama, ukipanda juu ya mnara mrefu unaiona meli ile baadae inavyozidi kwenda mbali unaiona inazama tena. Kama dunia ingekuwa flat hichi kisingetokea. Wanashindwa kutoa majibu wanadema dema. Ovyo kabisa
Sent using Cash Money Wings
Sent using Jamii Forums mobile app