Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,265
- 1,521
Mtu anakataa mpaka uwepo wa gravity, wakati watu wametumia ujuzi mkubwa sana mpaka kufikia conclusion na ikawa tested,mpaka leo unapanda vyombo kama ndege n.k unaita illusionšš. Unakubali kuwa walifanya high jump,wakarusha rockets mpaka wakakuta dome kama kiooo,na unakataa sattelite haiwezi kukaa juu š.
