You are illiterate.Nikisema kuandika hujui si utanishangaa sometimes error zipo japo nishakujibu hilo swali
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hii ni fiction mimi nilidhani tuna ongea vitu ambavyo ni halisi na vipo...endelea na mdahalo ufurahishe barzaSince last week, however, Eyde's statue has gazed out upon a sight that even the eminent engineer might have found startling. High on the mountain opposite, 450 metres above the town, three large, solar-powered, computer-controlled mirrors steadily track the movement of the sun across the sky, reflecting its rays down on to the square and bathing it in bright sunlight. Rjukan – or at least, a small but vital part of Rjukan – is no longer stuck where the sun don't shine.
"It's the sun!" grins Ingrid Sparbo, disbelievingly, lifting her face to the light and closing her eyes against the glare. A retired secretary, Sparbo has lived all her life in Rjukan and says people "do sort of get used to the shade. You end up not thinking about it, really. But this ... This is so warming. Not just physically, but mentally. It's mentally warming."View attachment 1335631
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwaniThe fact kuwa "flat-earthers" hawaamini katika simple science na physics na mathematics ambazo kimsingi ndio building blocks za maendeleo ya mwanadamu wa kisasa, inashangaza!
The fact kuwa umeshika smartphone yako unaandika hapa JF ni proof tosha the earth is not flat,how? jifunze how telecommunication works, antena zinavohusiana na earths magnetism, accelerometer sensors, gyroscopic sensors zote zimekaa kwenye simu tu hata tusiende mbali.
Atheists afadhali huwa wana point ya ku-argue ila flat-eathers ni wavivu sana wa kufikiri. Theory wanatoa wao, wana research wao, wanai-prove wao then wanataka kutulisha uchuro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nimekuelewa, huyu jamaa zuri Ni close minded namba 1 dunia nzima na hata all over the universeHuwezi kunielewa kama hukumwelewa mwalimu wako
Siwezi poteza muda wangu kuongea na wajinga wasio tayari kujifunza
Yoi have never been ready to learn zuri never
You are mr criticize
I can't waste my time
Nisiongeze tu frustration hapa
Jioni nisije kosea kumfanyia operation mtoto wa watu
Sote tunajua USA iko magharibi mwa Dunia na Russia iko mashariki mwa Dunia na Kama Dunia siyo spherical au duara ni kwanini Siberia ya Russia inapakana na Alaska ya Marekani kwa tofauti ya kilometers 80 na bado kati ya bahari hapo kuna Visiwa vidogo mpakaniWengi sikuwaelewa, lakini nitajibu kwa muktadha na proof za Flat Earth.
Unavyosema wote watakutana US Yakupasa kufahamu ndege zina slight flight direction point moja ya East!
Na hii inadhihirisha hata mpangilio wa continent's kwa (Round/Spherical Earthers) sio sahihi.
Flight direction ya east ni sababu za kibiashara tu hawawezi pitisha ndege bahari kubwa ya pacific pasipo ishi Watu bila faida yeyote !ambapo bahari hiyo ni kubwa inachukua 1/3 ya Dunia!Wengi sikuwaelewa, lakini nitajibu kwa muktadha na proof za Flat Earth.
Unavyosema wote watakutana US Yakupasa kufahamu ndege zina slight flight direction point moja ya East!
Na hii inadhihirisha hata mpangilio wa continent's kwa (Round/Spherical Earthers) sio sahihi.
Sasa hii ni fiction mimi nilidhani tuna ongea vitu ambavyo ni halisi na vipo...endelea na mdahalo ufurahishe barza
Embu uliza mambo ya msingi ,orbit ni nadharia na uwongo juu yakeUnaelewa maana ya orbit?
Kwanini MWEZI MCHANGA UNAKUWA NA UMBO LA NUSU DUARA LILILOBONYEA KATIKATI
KUPATWA kwa JUA na MWEZI kunatokeaji ikiwa dunua Ni Flat?
ARUSHA KWETU
The fact kuwa "flat-earthers" hawaamini katika simple science na physics na mathematics ambazo kimsingi ndio building blocks za maendeleo ya mwanadamu wa kisasa, inashangaza!
The fact kuwa umeshika smartphone yako unaandika hapa JF ni proof tosha the earth is not flat,how? jifunze how telecommunication works, antena zinavohusiana na earths magnetism, accelerometer sensors, gyroscopic sensors zote zimekaa kwenye simu tu hata tusiende mbali.
Atheists afadhali huwa wana point ya ku-argue ila flat-eathers ni wavivu sana wa kufikiri. Theory wanatoa wao, wana research wao, wanai-prove wao then wanataka kutulisha uchuro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliens wapo sehemu nyingi sana binafsi ndege zao nimeziona zikikatiza,siku hiyo nilikuwa dar nafunga dish zilipita 3 zikitoa mwanga mkali,halafu tafiti zinasema pale ni kwamba ni time travelling either wanaenda miaka ya mbele au nyuma,watu wengi washatoa ushahidi ila website ya youtube huzifuta na kupoteza ushahidi huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu hili hapa juu.Kuweka wazi jambo ambalo liko wazi ni matumizi mabaya ya akili na kupoteza muda.
Sasa mpaka muda huu naomba huo uthibitisho wa Sayansi huutoi, tatizo liko wapi mrembo ?
Nimeyaelezea vizuri uliyo yasema na nikahoji lakini maswali yangu hujibu.
Haya maswali mbona rahisi sana.
Upo sahihi dunia ni 'flati'.Kuna mtu hapo juu alisema ina rotate at 1000km/hr,je hiyo ni too slow to notice the motion?
Na kwa utetezi wake ni kwamba tunashindwa kutambua sababu ina spidi kubwa sana.
Wewe umesema kinyume chake,unajua mnanipoteza kwenye mjadala!
Msipokuwa makini REALITY anaweza kuchukua point zote watu tukahamia flat earth 😀
Nilikuambia with no variables and spinless au unataka nikuambiaje na unauliza hilo swali unatumia gezo gani au wapi kuthibitisha wewe ndo upo sahihi unaposema "hujajibu"You are illiterate.
Hata hujui kusoma.
Hujui kwamba huko kwenye error nilishakuacha.
Hujui swali gani nimekuuliza.
Hivyo siwezi kutegemea ulijibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh unaamini hadi time travel..
Hebu elezea kidogo ulivyoona hiyo ndege yao ikoje ikoje??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo majibu kumbe ninayo mwenyewe sio ?Jibu hili hapa juu.
Duh unaamini hadi time travel..
Hebu elezea kidogo ulivyoona hiyo ndege yao ikoje ikoje??
Sent using Jamii Forums mobile app