The World is a flat plane and not a globe

Inahitaji akili pana kudadavua vitu wewe unachukulia ushabiki.soma vitabu kwenye thread na uvielewe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kuona jua ni sawa na mwezi ni google ,au vikimove ni google ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu maybe wanadhani tumesoma arts.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia how do they operate in capturing view.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kwanini usivuke antarctic?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakuwaje mtandao wa simu unakupa kifurushi cha kuangalia startimes na dstv na simu hiyo unayotumia unajua transmission za signals zinatoka wapi?
Unajua minara ya tigo na voda na tigo inavyofanya kazi?

Halafu nimkuuliza kuhusu mnara mrefu uliosema unaratibu mawasiliano dunia nzima, sio ya tigo na voda ambayo naifahamu.

Vipi kuhusu GPS nayo ni uzushi?


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…